Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,381
- 33,032
Weka link ya citation hapaNa kama alidesa kwanini wazungu waitumie kum cite kwenye publication zao. Wewe sema tu una kinyongo naye kwasababu alikuwa anakushinda darasani basi
Weka link ya citation hapaNa kama alidesa kwanini wazungu waitumie kum cite kwenye publication zao. Wewe sema tu una kinyongo naye kwasababu alikuwa anakushinda darasani basi
Old school and double standard.Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...hu
na elimu...huna uelewa wa mambo...huna busara...huna hekima....
Magufuli ni Rais wa nchi, ni Head of state...na commander in chief of the armed forces...Rais Magufuli hawezi kwenda kwa Balozi...ila Balozi ndiye inabidi aombe Kama anataka kumuona na apangiwe muda...Balozi ataomba aonane na mtu mwingine akitaka...na Sasa ameomba akutane na Dk. Bashiru na amempa muda wa kuongea naye...
Usimchukulie Rais kuwa sawa na Lissu wenu...wako tofauti kabisa...usimchukulie Magufuli kuwa sawa na Balozi wa nyumba kumi...
Kuandika hapa kuwa eti Magufuli anakimbia ni kielelezo Cha uwezo wako mdogo na wa chini kabisa kuhusu uelewa wa issues mbalimbali...
Kama ilikuwa huelewi nchi zote duniani ikiwemo Marekani zinajua Magufuli atashinda Urais ...mpaka Sasa projections intelligence sources mbalimbali kuhusu ushindi wa JPM ni between 75 percent to 86 percent..
CIA wanaijua hivyo...Mosad wanajua hivyo..MI5 wanajua hivyo.
Lissu mwenyewe anajua hivyo...Beberu Amsterdam naye anajua hivyo
Ila kinachifanyika Sasa na akina Amsterdam, Lissu na vibaraka is just to create fear and Tanzanians ionekane kuwa pengine Lissu ana wafuasi wengi...
Mitego yote waliyotega mabeberu ili ionekane serikali ni wabaya imeteguliwa so far...yamebaki matukio madogo madogo ya kutengenezwa...sijui ya boat huko ukerewe, mawe huko Chato na kadhalika...
nakupa hadi article kabisaWeka link ya citation hapa
Mbona hakuna updatesMaendeleo hayana vyama!
Lakini sio kwenye Kiingereza 😄Useme usiseme Dkt amekuzidi sanaa ndugu
Huo ndo utaratibu sio eti kwenda kule ubalozini, anatakiwa yeye ndo aende kwenye ofisi za
Hakuwaalika CCM kwenda ubalozini ndio maana CCM wakaona wamwalike yeye.Huo ndo utaratibu sio eti kwenda kule ubalozini, anatakiwa yeye ndo aende kwenye ofisi za vyama
Kwani wachina wanajua kiingereza?Lakini sio kwenye Kiingereza 😄
wewe umewahi andika paper yoyote ambayo hata wazungu wanaitumia?Lakini sio kwenye Kiingereza 😄
Hahaha hakuongea naye, alimpa makaratasi akaondoka.Huyo balozi kajitambulisha mwezi wa tisa na wameongea na Rais, sasa unataka aongee nini tena na Rais, pengine anahitaji mambo ya chama.
Hivyo katibu mkuu anatosha kuongea mambo ya chama.
Katibu mkuu bwana bashiru anatusaliti watanzania kwa kukutana na huyu beberu. Magufuli amwangalie sana huyu bashiru anaweza akauza chama chetu kwa mabeberu.Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.
Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.
Source Watetezi tv
View attachment 1601057
View attachment 1601060
Maendeleo hayana vyama!
Zile sio akili za bashiru wa udsmMzee wa "tumia dola kubakia kwenye dola"!.Imagine ni PhD inahimiza udikteta
Hahaha your excellency I am preaching to you but you are not reachable!Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...hu
na elimu...huna uelewa wa mambo...huna busara...huna hekima....
Magufuli ni Rais wa nchi, ni Head of state...na commander in chief of the armed forces...Rais Magufuli hawezi kwenda kwa Balozi...ila Balozi ndiye inabidi aombe Kama anataka kumuona na apangiwe muda...Balozi ataomba aonane na mtu mwingine akitaka...na Sasa ameomba akutane na Dk. Bashiru na amempa muda wa kuongea naye...
Usimchukulie Rais kuwa sawa na Lissu wenu...wako tofauti kabisa...usimchukulie Magufuli kuwa sawa na Balozi wa nyumba kumi...
Kuandika hapa kuwa eti Magufuli anakimbia ni kielelezo Cha uwezo wako mdogo na wa chini kabisa kuhusu uelewa wa issues mbalimbali...
Kama ilikuwa huelewi nchi zote duniani ikiwemo Marekani zinajua Magufuli atashinda Urais ...mpaka Sasa projections intelligence sources mbalimbali kuhusu ushindi wa JPM ni between 75 percent to 86 percent..
CIA wanaijua hivyo...Mosad wanajua hivyo..MI5 wanajua hivyo.
Lissu mwenyewe anajua hivyo...Beberu Amsterdam naye anajua hivyo
Ila kinachifanyika Sasa na akina Amsterdam, Lissu na vibaraka is just to create fear and Tanzanians ionekane kuwa pengine Lissu ana wafuasi wengi...
Mitego yote waliyotega mabeberu ili ionekane serikali ni wabaya imeteguliwa so far...yamebaki matukio madogo madogo ya kutengenezwa...sijui ya boat huko ukerewe, mawe huko Chato na kadhalika...
Zimebaki week mbil tu kampeniHahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.
ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!
Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Tutakuletea mdeeeeHahah
Nileteeeeni gwajima
Nileteeeeeeeeeeeeni gwajima
Nileteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni gwajima.
Akienda hapo Lumumba anakuwa sio beberu, akili nyingine bwana , sijui huwa mnalogwaHuo ndo utaratibu sio eti kwenda kule ubalozini, anatakiwa yeye ndo aende kwenye ofisi za vyama
Hahaha unafikiri alimaanisha hivyo au ndio ilikuwa maana yake?!Nyie Bavicha ACHENI kupotosha Rais alisema hivi...Mr President I am trying to Preach but I can not Reach You..nafikiri alimaanisha Mh.Rais najaribu kuongea /kuhutubia kwa Kiddhungu lakini sikufikii wewe!
Hahaha kwani huko alikokwenda alilazimishwa?!Zimebaki week mbil tu kampeni
Magufuli ana mpango gani na mikoa ambayo hajaenda ambayo ni mingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo sioni matusi ya ccm kuwa marekani au mabeberu wanaingilia uchaguziBalozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.
Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.
Source Watetezi tv
View attachment 1601057
View attachment 1601060
Maendeleo hayana vyama!
Alianza wa NCCR akafuatia Maalim halafu Tundu kwenda kwa balozi kwa mwaliko. Ni kibaraka gani kati ya hao unayemsema? Think!Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.
Unaona tofauti sasa