Balozi wa Marekani akutana na Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Lumumba jijini Dar es Salaam

Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...hu
na elimu...huna uelewa wa mambo...huna busara...huna hekima....

Magufuli ni Rais wa nchi, ni Head of state...na commander in chief of the armed forces...Rais Magufuli hawezi kwenda kwa Balozi...ila Balozi ndiye inabidi aombe Kama anataka kumuona na apangiwe muda...Balozi ataomba aonane na mtu mwingine akitaka...na Sasa ameomba akutane na Dk. Bashiru na amempa muda wa kuongea naye...

Usimchukulie Rais kuwa sawa na Lissu wenu...wako tofauti kabisa...usimchukulie Magufuli kuwa sawa na Balozi wa nyumba kumi...

Kuandika hapa kuwa eti Magufuli anakimbia ni kielelezo Cha uwezo wako mdogo na wa chini kabisa kuhusu uelewa wa issues mbalimbali...

Kama ilikuwa huelewi nchi zote duniani ikiwemo Marekani zinajua Magufuli atashinda Urais ...mpaka Sasa projections intelligence sources mbalimbali kuhusu ushindi wa JPM ni between 75 percent to 86 percent..
CIA wanaijua hivyo...Mosad wanajua hivyo..MI5 wanajua hivyo.

Lissu mwenyewe anajua hivyo...Beberu Amsterdam naye anajua hivyo

Ila kinachifanyika Sasa na akina Amsterdam, Lissu na vibaraka is just to create fear and Tanzanians ionekane kuwa pengine Lissu ana wafuasi wengi...

Mitego yote waliyotega mabeberu ili ionekane serikali ni wabaya imeteguliwa so far...yamebaki matukio madogo madogo ya kutengenezwa...sijui ya boat huko ukerewe, mawe huko Chato na kadhalika...
Old school and double standard.
Waziri Mkuu Majaliwa alienda Kwa balozi wa China na kupokea misaada ya kinga ya COVID-1. huyo ni mtu mdogo?

Banana Republic is Banana Republic full stop. You cannot compare on earth this Banana Republic and US of America! The lone Super Power.
 

Attachments

  • Screenshot_20201015_215737.jpg
    Screenshot_20201015_215737.jpg
    32.7 KB · Views: 1
  • Ms_CJAST_48621.pdf
    479.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20201015_223319.jpg
    Screenshot_20201015_223319.jpg
    155.1 KB · Views: 1
Lakini sio kwenye Kiingereza 😄
wewe umewahi andika paper yoyote ambayo hata wazungu wanaitumia?

Ona wazungu wanavyo cite paper ya Magufuli. Nawewe tunaomba tuone walipo ku cite.
 

Attachments

  • Screenshot_20201015_225433.jpg
    Screenshot_20201015_225433.jpg
    134.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20201015_223319.jpg
    Screenshot_20201015_223319.jpg
    155.1 KB · Views: 1
Chadema hawana ofisi yenye hadhi kuweza kuhost wageni kwa level za kimataifa,

Wanakauchochoro kao ambako hawataki mtu awatembelee,

Ndio maana Lisu akakimbilia Balozi aliko.
 
Huyo balozi kajitambulisha mwezi wa tisa na wameongea na Rais, sasa unataka aongee nini tena na Rais, pengine anahitaji mambo ya chama.
Hivyo katibu mkuu anatosha kuongea mambo ya chama.
Hahaha hakuongea naye, alimpa makaratasi akaondoka.
Magufuli angeongea naye kwa lugha gani?!
Your excellency I am preaching but you are not reachable!
 
Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.

Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.

Source Watetezi tv

View attachment 1601057
View attachment 1601060
Maendeleo hayana vyama!
Katibu mkuu bwana bashiru anatusaliti watanzania kwa kukutana na huyu beberu. Magufuli amwangalie sana huyu bashiru anaweza akauza chama chetu kwa mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...hu
na elimu...huna uelewa wa mambo...huna busara...huna hekima....

Magufuli ni Rais wa nchi, ni Head of state...na commander in chief of the armed forces...Rais Magufuli hawezi kwenda kwa Balozi...ila Balozi ndiye inabidi aombe Kama anataka kumuona na apangiwe muda...Balozi ataomba aonane na mtu mwingine akitaka...na Sasa ameomba akutane na Dk. Bashiru na amempa muda wa kuongea naye...

Usimchukulie Rais kuwa sawa na Lissu wenu...wako tofauti kabisa...usimchukulie Magufuli kuwa sawa na Balozi wa nyumba kumi...

Kuandika hapa kuwa eti Magufuli anakimbia ni kielelezo Cha uwezo wako mdogo na wa chini kabisa kuhusu uelewa wa issues mbalimbali...

Kama ilikuwa huelewi nchi zote duniani ikiwemo Marekani zinajua Magufuli atashinda Urais ...mpaka Sasa projections intelligence sources mbalimbali kuhusu ushindi wa JPM ni between 75 percent to 86 percent..
CIA wanaijua hivyo...Mosad wanajua hivyo..MI5 wanajua hivyo.

Lissu mwenyewe anajua hivyo...Beberu Amsterdam naye anajua hivyo

Ila kinachifanyika Sasa na akina Amsterdam, Lissu na vibaraka is just to create fear and Tanzanians ionekane kuwa pengine Lissu ana wafuasi wengi...

Mitego yote waliyotega mabeberu ili ionekane serikali ni wabaya imeteguliwa so far...yamebaki matukio madogo madogo ya kutengenezwa...sijui ya boat huko ukerewe, mawe huko Chato na kadhalika...
Hahaha your excellency I am preaching to you but you are not reachable!

Kande na maziwa, mwenyeketi wa ccm taifa aende, Magufuli ni mgombea wa kiti cha urais.

Sijui wewe una elimu gani au we ndiye Gwajima?!

Mnauliza elimu sijui hata kama mnaelewa elimu ni nini, au hizi PhD tunazopeana hapa?!
 
Hahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.

ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!

Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Zimebaki week mbil tu kampeni

Magufuli ana mpango gani na mikoa ambayo hajaenda ambayo ni mingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie Bavicha ACHENI kupotosha Rais alisema hivi...Mr President I am trying to Preach but I can not Reach You..nafikiri alimaanisha Mh.Rais najaribu kuongea /kuhutubia kwa Kiddhungu lakini sikufikii wewe!
Hahaha unafikiri alimaanisha hivyo au ndio ilikuwa maana yake?!

Your excellency I am preaching to you but you are not reachable!

Hahaha eti Doctor naye?!
 
Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.

Unaona tofauti sasa
Alianza wa NCCR akafuatia Maalim halafu Tundu kwenda kwa balozi kwa mwaliko. Ni kibaraka gani kati ya hao unayemsema? Think!
 
Back
Top Bottom