JAPUONY
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 383
- 186
Historia ni kitu muhimu na hayo yote yalioandikwa amepitia labda grom primary school to whatever japo kwa upande mwengine si msingi..Kwa mujibu wa jarida la Dagnyheter (Uswidi)jamaa yuko makini kiutendaji Watanzania tuumpe mda si kila samaki alekuwepo kwenye tenga kaoza kama harufu inavyonuka wengine wanafaa kuwa ng onda na wakalisongesha
ALLAH BARIK TANZANIA NA WATU WAKE NA SI MAFISADI
Huyo Bw. is good! Believe me wana JF. Cha msingi tumpe muda atende kazi zake.