Balozi Ombeni Sefue amrithi Luhanjo

Kuna uwezekano mkubwa kuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Bw. Ombeni Sefue ndiye atakayerithi mikoba ya Katibu Mkuu Kiongozi aliyejikuta kwenye malumbano na wabunge mwaka huu pamoja na kygubijwa na lawama nyingi Bw. Luhanjo a.k.a "Chifu". Hizo ndizo tetesi tulizozisikia leo.

Watz wengine noma sana, hii post alikuwa alamba bwana DAVID JAIRO.
 
Huu upuuzi utaisha lini? Hii nchi inaonekana ukitaka kuukwaa uongozi lazima uwe mtuhumiwa hahahhah bongo raha kweli kweli! CCM mbona mnatuchosha hivi lakini huu umangimeza utaisha lini? Kupeana madaraka kama vile watanzania wengine ni mbumbumbu mzungu wa reli. Watu wazee mvi mpaka oops! sorry.

Na ndio maana tunapoteza muda kumwandalia mazingira bwana Lowasa awe Rais. Ukistaajabu ya Luhanjo utayaona ya Lowasa. Stay tuned.
 
Kwa uchache


OMBENI Y. SEFUE
Ambassador Ombeni Yohana SEFUE formally began his tour of duty as Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to the United Nations in New York on 31st August, 2010. Before that he was Tanzania's Ambassador to the United States of America in Washington D.C. from 15th June, 2007 to 14th August, 2010. Previously, Ambassador Sefue served as his country's High Commissioner (Ambassador) to Canada from October 2005 to June 2007.
A career diplomat, Ambassador Sefue also served as Counselor in the Embassy of Tanzania in Stockholm, Sweden, between 1987 and 1992.
Between 1993 and 2005, he worked as Speechwriter and Personal Assistant to two Presidents of Tanzania- President Ali Hassan Mwinyi (1993-1995) and President Benjamin William Mkapa (1995–2005).
Among other things, Ambassador Sefue assisted President Mkapa when he served on the Commission for Africa (The Blair Commission) that produced its report, Our Common Interest: Report of the Commission for Africa in March 2005, and participated with him at the G8 Summit session that discussed the report at Gleneagles in early July 2005.
He also worked with President Mkapa when the president served as Co-Chair of the ILO World Commission on the Social Dimension of Globalization between 2002 and 2004, participating in the preparation of the Commission's report, A Fair Globalization: Creating Opportunities For All, issued in February 2004.
Ambassador Sefue completed his undergraduate studies in Public Administration in 1977 at what is today Mzumbe University in Morogoro Tanzania. He earned an M.A. in Public Policy and Administration from the Institute of Social Studies (ISS) in The Hague, The Netherlands, (1981). He holds a Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy from the Tanzania-Mozambique Center for Foreign Relations in Dar es Salaam, Tanzania (1986).
Ambassador Sefue is married to Mrs. Anita M. Sefue and they have two children.

A good CV. mafisadi wasimharibu tu....
 
A good CV. mafisadi wasimharibu tu....

Kufika hapo maana yake kashaharibika. Huwezi kuwa balozi wa serikali ya kifisadi UN bila kuwa fisadi, wewe ndiye unapewa mikoba ya kuitetea serikali UN, unategemea huyu hajapewa "initiation rites" tu ?
 
huyu jamaa safi sana .......as long as jk yupo madarakani sioni kama luhanjo ataenda mahakani


aende mahakamani kwa lipi? wasiendea mawaziri waliotia hasara kubwa, na hata hao wanaokwenda ni sere tupu?

CHIEF ameninong'oneza kuwa anarudi NJOMBE kwa dada yake Makinda kulima VILASI.
 
Rais Kikwete anaonyesha ana imani ya mrengo kwa kidoplomasia... anaamini watu wanaofanya kazi foreign affairs na sio kwingineko

hii ni hatari kweli kwa siasa za nchi yetu; wako weak sana
Nawaonea huruma msiojua ukilaza wa j, mnamatumaini naye, hakuna jipya kwa jk, hata kama akiambiwa abadilishe tena baraza la mawazili ni yaleyale.
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Bw. Ombeni Sefue ndiye atakayerithi mikoba ya Katibu Mkuu Kiongozi aliyejikuta kwenye malumbano na wabunge mwaka huu pamoja na kygubijwa na lawama nyingi Bw. Luhanjo a.k.a "Chifu". Hizo ndizo tetesi tulizozisikia leo.

salute!
 
Kwa uchache


OMBENI Y. SEFUE
Ambassador Ombeni Yohana SEFUE formally began his tour of duty as Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to the United Nations in New York on 31st August, 2010. Before that he was Tanzania's Ambassador to the United States of America in Washington D.C. from 15th June, 2007 to 14th August, 2010. Previously, Ambassador Sefue served as his country's High Commissioner (Ambassador) to Canada from October 2005 to June 2007.
A career diplomat, Ambassador Sefue also served as Counselor in the Embassy of Tanzania in Stockholm, Sweden, between 1987 and 1992.
Between 1993 and 2005, he worked as Speechwriter and Personal Assistant to two Presidents of Tanzania— President Ali Hassan Mwinyi (1993-1995) and President Benjamin William Mkapa (1995–2005).
Among other things, Ambassador Sefue assisted President Mkapa when he served on the Commission for Africa (The Blair Commission) that produced its report, Our Common Interest: Report of the Commission for Africa in March 2005, and participated with him at the G8 Summit session that discussed the report at Gleneagles in early July 2005.
He also worked with President Mkapa when the president served as Co-Chair of the ILO World Commission on the Social Dimension of Globalization between 2002 and 2004, participating in the preparation of the Commission’s report, A Fair Globalization: Creating Opportunities For All, issued in February 2004.
Ambassador Sefue completed his undergraduate studies in Public Administration in 1977 at what is today Mzumbe University in Morogoro Tanzania. He earned an M.A. in Public Policy and Administration from the Institute of Social Studies (ISS) in The Hague, The Netherlands, (1981). He holds a Post-Graduate Diploma in International Relations and Diplomacy from the Tanzania-Mozambique Center for Foreign Relations in Dar es Salaam, Tanzania (1986).
Ambassador Sefue is married to Mrs. Anita M. Sefue and they have two children.

thanks mkuu
 
Yaani kifupi ni kua wabadilishane ulaji!!!
Kwani ubalozi hauna kikomo katika umri??

Nadhani ubalaozi hauna umri wa kustaafu na kama upo basi ni zaidi ya miaka 60. Nakumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi Mama Salome Sijaona alipostaafu utumishi serikalini alipumzika kidogo kisha akateuliwa kuwa Balozi wa TZ huko Japan!
 
Check hapo kwenye deep green, hii inchi ya ajabu sana, sasa kama tamko linalotoka Ikulu linakuwa hivi tutegemee nini ma tamko ya wakuu wa wilaya.

Haya ni matokeo ya Serikali kuchakachua elimu kuanzia chekechea, msingi, sekondari na chuo kikuu. Si unajua tena wahitimu wetu wa Vyuo vikuu wanavyoshindwa hata kujieleza wenyewe!!
 
..wana Mzumbe mko wapi kushangalia uteuzi wa alumni mwenzenu?

..nakumbuka enzi za malumbano kati ya Mzumbe Univ vs UDSM.
 
Watupiana vijiti tu vya kutafuna kodi zetu, utafikiri hii Tanganyika wameumbiwa wao na mungu. Kwani hakuna watu wengine waoweza kuongoz nchii mpaka walewale wa nendarudi? Mtu akiharibu anahamishiwa wizara nyingine aende akaharibu. Tanganyika yote watu wenye elimu ni wa CCM?
Halafu ni mbabu huyo, naiman hana miaka mitatu hadi astahafu pia, hivi hakuna young brains za kushika ofisi nyeti kama hizi??uwezo wa wazee wengi waliopo kwenye system ya Serikali hii ya ccm ulishafika kikomo. Tunahitaji fresh brains labda zitainusuru nchi na mazishi ya kiuchumi mana kama kuporomoka tulishaga poromoka long time!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom