Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Wakuu kuuliza si ujinga;
Mara baada ya kupitia hiyo taarifa toka ikulu hapo chini mwenzenu nimetatizwa kidogo. Waku hebu nijibuni hili swali langu dogo tu.
Hivi huyu Mkurugenzi wetu wa kurugenzi za mawasiliano kule ikulu yetu Magogoni, dr Salva Rweyemamu huwa ni wa kisomo cha darasa la ngapi?
Hicho ki-taito kabla ya jina lake ni zile za mabwana afya na mifugo zile za siku zote tulizozizoea kule mitaani kwetu au ni ile yenyewe yenyewe ya kiukweli?
Mara baada ya kupitia hiyo taarifa toka ikulu hapo chini mwenzenu nimetatizwa kidogo. Waku hebu nijibuni hili swali langu dogo tu.
Hivi huyu Mkurugenzi wetu wa kurugenzi za mawasiliano kule ikulu yetu Magogoni, dr Salva Rweyemamu huwa ni wa kisomo cha darasa la ngapi?
Hicho ki-taito kabla ya jina lake ni zile za mabwana afya na mifugo zile za siku zote tulizozizoea kule mitaani kwetu au ni ile yenyewe yenyewe ya kiukweli?
Urgent Press Notice
Shortly, (i) there are will be (there shall be / State House is expected to announce / to appoint / to make changes ...) a (ii) very important (ni kitu gani ambacho ni VERY IMPORTANT katika fisadi mpya kupata ulaji usiokua na tija kwa walipakodi?) statement from the State House.
Please be on the alert for the (iii) satement (STATEMENT) and (iv) briefly delay (hivi hili la baadhi ya taarifa za ikulu kutolewa usiku usiku huwa ni kutokana na ukweli kwamba mchana huwa wanakua bize sana au ni fesheni tu) sending your publications to bed.
Sent by Salva Rweyemamu – Director of Presidential Communications – State House – December 30, 2011.