Samahani kuuliza si ujinga. Je wizara ya mambo ya nje siyo yenye jukumu la kumshauri raisi kwenye mambo ya diplomasia? I mean hiyo siyo kazi ya waziri wa mambo ya nje? Nauliza tu...
Hivi JK hajakuona wewe kwa jinsi ulivyo mrembo?!hongera mum, huyu Mr president hashauriki lakini maana kiburi,ubishi na kutokujali kumemzidi!eep:
JK ushauri utafute hapa jamvini JF.Kumpa Mulamula Ushauri wa Rais ni kumvunjia hadhi yake. Mama huyu ni kichwa, ana akili sana, alipaswa kupewa WALAU ubunge wa jimbo la IKULU kama Meghji then apewe na uwaziri kamili wa wizara kubwa. Kwenda kumshauri Rais wetu ni kumpotezea muda mama huyu maana rais wetu JK jamani HASHAURIKI!
Kiongozi wetu ana mawazo mafupi sana. yaani anafikiri atampanda Balozi Mulamula! thubutu!