Balozi Mulamula aula ikulu

Kwa staili hii tusubiri uteuzi wa mshauri wa rais wa mambo ya sanitary and gabbage!
 
[BSwali zuri but Ikumbukwe Waziri anamajukumu mengine mengi, uyo aliyemteua ni full time job kama advizer.[/B]
Samahani kuuliza si ujinga. Je wizara ya mambo ya nje siyo yenye jukumu la kumshauri raisi kwenye mambo ya diplomasia? I mean hiyo siyo kazi ya waziri wa mambo ya nje? Nauliza tu...
 
Kumpa Mulamula Ushauri wa Rais ni kumvunjia hadhi yake. Mama huyu ni kichwa, ana akili sana, alipaswa kupewa WALAU ubunge wa jimbo la IKULU kama Meghji then apewe na uwaziri kamili wa wizara kubwa. Kwenda kumshauri Rais wetu ni kumpotezea muda mama huyu maana rais wetu JK jamani HASHAURIKI!
JK ushauri utafute hapa jamvini JF.
 
Ambassador-Liberata-Mulamula.jpg

Kiongozi wetu ana mawazo mafupi sana. yaani anafikiri atampanda Balozi Mulamula! thubutu!

Duh!:frown:
 
Back
Top Bottom