Kumpa Mulamula Ushauri wa Rais ni kumvunjia hadhi yake. Mama huyu ni kichwa, ana akili sana, alipaswa kupewa WALAU ubunge wa jimbo la IKULU kama Meghji then apewe na uwaziri kamili wa wizara kubwa. Kwenda kumshauri Rais wetu ni kumpotezea muda mama huyu maana rais wetu JK jamani HASHAURIKI!
Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua BALOZI LIBERATA R. MULAMULA kuwa MSAIDIZI WA RAIS MWANDAMIZI, MASUALA YADIPLOMASIA.
Kablaya kuteuliwa kwake Balozi Mulamula alikuwa Katibu Mtendaji wa Nchi za MaziwaMakuu.Uteuzihuu unaanza tarehe 28 Februari, 2012.
mpe kazi inayoeleweka, washauri wako c akina kingunge na msekwa. Bora hata ungempa uwazi wa afrika mashariki samweli 6 ukampa wizara ya afya. Tumia bongo yako mheshimiwa hatukuelewi.
Wazazi, huyu mama atajivunjia heshima tu kwa kula sahani moja na mkwele utamshauri nini mtu kama huyu?,mama MULAMULA kajifanyie shughuli zako mzazi hapo utakula kashfa mwanzo mwisho .Mkwele kwa kujitengenezea mipira hajambo!
Rais wetu angekuwa anashaurika basi huyu angekuwa anamfaa. but hamna kitu kitakacho fanyika wala mabadiliko yoyote zaidi ya kusubili miaka yao mitatu iishe wakale pension.
Samahani kuuliza si ujinga. Je wizara ya mambo ya nje siyo yenye jukumu la kumshauri raisi kwenye mambo ya diplomasia? I mean hiyo siyo kazi ya waziri wa mambo ya nje? Nauliza tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.