Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Aya wee...mama wewe...maa weee...
Kumbe hao Rex ni vilaza hivyo? Haki ya nani tena tumekwisha!!!!!!!!!!
Sio vilaza ndugu yangu WATU WAPO KIKAZI ZAIDI!
Aya wee...mama wewe...maa weee...
Kumbe hao Rex ni vilaza hivyo? Haki ya nani tena tumekwisha!!!!!!!!!!
Sio vilaza ndugu yangu WATU WAPO KIKAZI ZAIDI!
Mkuu nilisikia mahali kua MKWERE ana mtoto na huyu mama!na walisoma pamoja udsmmama Fisadi huyu, hafai sijui kwa nini anawekwa balozi , shame on JK
Mkuu nilisikia mahali kua MKWERE ana mtoto na huyu mama!na walisoma pamoja udsm
Kwa mujibu wa thread iliyoanzishwa na Vuvuzela hivi leo, kampuni ya mawakili ijulikanayo kwa jina la Rex Attorneys, iliwahi kuwa mwakilishi wa Richmond Development Corporation(RDC) hapa nchini. Kama hivyo ndivyo, ni dhahiri kampuni hiyo ilikiuka miiko ya taaluma (profession misconduct), kwa kuwakilisha TANESCO katika kesi ambayo ilifunguliwa dhidi yake na kampuni iliyorithi mkataba wa mteja wake wa zamani. Nakaribisha maoni zaidi katika suala hili.
Kwa mujibu wa thread iliyoanzishwa na Vuvuzela hivi leo, kampuni ya mawakili ijulikanayo kwa jina la Rex Attorneys, iliwahi kuwa mwakilishi wa Richmond Development Corporation(RDC) hapa nchini. Kama hivyo ndivyo, ni dhahiri kampuni hiyo ilikiuka miiko ya taaluma (profession misconduct), kwa kuwakilisha TANESCO katika kesi ambayo ilifunguliwa dhidi yake na kampuni iliyorithi mkataba wa mteja wake wa zamani. Nakaribisha maoni zaidi katika suala hili.
WAKO WAPI wabunge wetu?
Mbona hakuna majina ya wamiliki kwenye hiyo website yao?!!