Balozi Maajar and REX Attorneys

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
965
66
Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.

Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.

Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.
 
Ndiyo maana nchi inazidi kudidmia! Hivi Jk kweli alishinda uchaguzi? sasa ni wazi hakushinda!
 
Uchunguzi zaidi utaonyesha kwamba Maajar ni financial confidant wa JK -- anamtunzia hela zake kule majuu! Nyie subirini tu.
 
Uchunguzi zaidi utaonyesha kwamba Maajar ni financial confidant wa JK -- anamtunzia hela zake kule majuu! Nyie subirini tu.
Hii nchi ni Mungu anajua ukiangalia none of the Western nations wame-condemn uchaguzi uliopita wa October lakini ikumbukwe Canada, the UK Australia and the US ndo wanamiliki all the exploration blocks hapa TZ na mikataba yoote mibovu imesainiwa nao...! na cha kushangaza Canada ilikuwa pamoja na Europian Election Observers japokuwa wao si toka Europe! Akili ku-mkichwani tutaishia DRC
 
Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.

Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.

Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.
Nadhani hujasoma vizuri

Ms. Maajar is currently on a sabbatical serving as High Commissioner of the United Republic of Tanzania accredited to the Court of St. James, United Kingdom and Northern Ireland and (Non-Resident) Ambassador Extraordinary of the United Republic of Tanzania to Ireland. Until her appointment as High Commissioner
 
Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.

Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.

Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.

Rex ndio walioandaa na kushauri serikali khs sheria ya madini, wao ndio wakawa mawakili wa kampuni za madini, wakaja wakaishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco, wakaishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata, na wao wakalipwa mapesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa!!! Nchi nyingine Majaar angekamatwa lkn sisi anakula kuku majuu
 
Hv si nasikia na Dr Hosea nae anaendeleza libeneke kwenye chamber yake ingawa ni mkurugenzi wa PCCB?
(Am nt sure I stand to be corrected)
 
May I inform my friend Belo that the information he has about ambassador Maajar is out of date; currently that mamakubwa is in USA in the same capacity, but since USA is not a commonwealth country is styled an ambassedor and not high commissioner. As regards the reputation of her law firm, it's one of the biggest beneficiaries of the high state corruption involving questionable contacts during the third phase government. As you may probably know Mrs Mkapa's father and her own father are brothers.
 
What has Majjar got to do with ICC judgment, could she influence their judgment.

Dowans was going to win the case anyway. You don't just cancel contracts. Udikteta uliisha enzi za kina Nyerere.
 
dawa hii nchi ukipata chansi bugia tu mahela ya walalhoi. sasa hasira zote hizi halafu unasikia uchaguzi mafisadi wameshinda kwa kishindo tena kwa kra za haohao wananchi wanoibiwa kila kukicha, wakiambiwa hawasikii!
 
May I inform my friend Belo that the information he has about ambassador Maajar is out of date; currently that mamakubwa is in USA in the same capacity, but since USA is not a commonwealth country is styled an ambassedor and not high commissioner. As regards the reputation of her law firm, it's one of the biggest beneficiaries of the high state corruption involving questionable contacts during the third phase government. As you may probably know Mrs Mkapa's father and her own father are brothers.


Mzee Byenda thanks kwa kuinform huyu Bwana Belo,maana wa kina Belo ni wengi sana Tanzania!
Ndio maana tunahitaji Katiba maya ambayo wateuzi wote wa RAIS inatakiwa wawe confirmed na Kamati huru za Bunge(kama zipo).

Belo kwa akili yake timamu ,eti anahalalisha eti yuko sabbatical.
Ukisoma sabbatical maana yake kutoka ENGLISH dictionary na quote 'a year's leave from a teaching post,often paid,for research or travel'

Labda kama huyu mama Maajar alikuwa pale UDSM anafundisha ,akapata huo ubalozi hapo sawa.Hata hivyo bado ni conflict ya interests firm yake kucontract na serikali
 
Hii nchi ni Mungu anajua ukiangalia none of the Western nations wame-condemn uchaguzi uliopita wa October lakini ikumbukwe Canada, the UK Australia and the US ndo wanamiliki all the exploration blocks hapa TZ na mikataba yoote mibovu imesainiwa nao...! na cha kushangaza Canada ilikuwa pamoja na Europian Election Observers japokuwa wao si toka Europe! Akili ku-mkichwani tutaishia DRC


Geza Ulole,usitegemee Wazungu wataiadhibu Tanzania,kama walivyo fanya Zimbabwe,au hata Kenya kunyima VISA corrupt offcials kusafiri Ulaya.

Wazungu ni hypocrite,mpaka tuchinjane ndio waseme kitu.Angalia Ivory Coast etc.
 
What has Majjar got to do with ICC judgment, could she influence their judgment.

Dowans was going to win the case anyway. You don't just cancel contracts. Udikteta uliisha enzi za kina Nyerere.


Tunazungumzia kuwa REX attorneys ya Balozi Maajar inasemekana imelipwa Tshs 5 billion za taxpayers kuidefend Tanesco against Dowans!!!
Is there any conflict of interest ?Forget about ICC judgement!!!!
 
What has Majjar got to do with ICC judgment, could she influence their judgment.

Dowans was going to win the case anyway. You don't just cancel contracts. Udikteta uliisha enzi za kina Nyerere.
sijui lini utaacha pumba aisee... unasema what has the lawyer to with the case outcome?
 
mama Fisadi huyu, hafai sijui kwa nini anawekwa balozi , shame on JK
 
Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.

Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.

Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.

Namfahamu huyu mama ila kwa leo nisimwage mambo yake hadharani. lla hili la kuajiriwa kumuzia bosi wako maziwa kwenye banda lake halafu na wewe ukafungue banda lako kama hilo hilo lakini mtaa wa pili ni skendo kubwa mno.

Lakini ripoti juu yake huko ubalozini Uingereza ukoje kwa sasa??????
 
Sina imani na kikwete kabisa,he is a man behind all these,you've heard and seen nothing yet.
 
Rex ndio walioandaa na kushauri serikali khs sheria ya madini, wao ndio wakawa mawakili wa kampuni za madini, wakaja wakaishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco, wakaishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata, na wao wakalipwa mapesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa!!! Nchi nyingine Majaar angekamatwa lkn sisi anakula kuku majuu

Aya wee...mama wewe...maa weee...

Kumbe hao Rex ni vilaza hivyo? Haki ya nani tena tumekwisha!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom