Nimeingia kwenye website ya REX Attorneys na kuona kuwa Balozi Maajar bado ni partner wa hii firm.Hii ni AIBU kubwa kwa law proffesion ya TANZANIA.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.
Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.
Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.
Jamani hapa hamuoni conflict of Interests?Nchi nyingi zenye democracy kamili,ukichaguliwa kuwa na nafasi kama hiyo unabidi ukate ties.
Kuna thread hapa kuwa REX attorneys imelipwa whooping Ths 5 billion kuiwakilisha TANESCO against DOWANS!!!!Tukumbuke TANESCO ni chombo cha serikali.It means naye amepata share hii ya Tshs 5 billioni hela za wavuja jasho Tanzania.
Mimi sijui sheria,labda jamaa zetu mliosoma sheria,au mjumbe toka TANGANYIKA LAWLESS SOCIETY atuambie hii ni poa tu kuwa balozi mteule anayewakilisha nchi ya Tz huko USA ,also ni private employed na local firm.