Ballon d'Or 2022/2023: Who is your favorite?

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
1,328
3,695
Lionel Leo Messi Vs Erling Haaland

FB_IMG_16866852614674444.jpg
 
Hivi kwa nini wasiwaweke wachezaji toka ligi za asia. Uarabuni, america, n.k? Kwa nini hiyo tuzo wanaangalia wachezaji wa ulaya wakati wanasema ni ya dunia?


Kiukweli mkuu mimi mpira sifatilii ILA nahisi labda ukubwa wa league kama hiyo ya uingereza, kuna watu hatufatilii mpira lakini lazima umsikie mtu kama debruyne, harlaand, ILA nitafutie watu10 wakutajie wachezaji watatu wa club yoyote ya saudi arabia nina hakika Kati ya 10 hata watatu hawafiki watakaotaja
 
Japo ni shabiki wa Man Utd ila huyu dogo apewe maua yake.
πŸ‡¦πŸ‡·
World Cup
πŸ‡¦πŸ‡·
Copa America
πŸ‡¦πŸ‡·
Finalissima
πŸ”΄
Argentine Primera
πŸ”΄
Copa Libertadores
πŸ”΄
Copa Argentina
πŸ”΄
Supercopa Argentina
πŸ”΄
Trofeo de Campeones
πŸ”΄
Recopa Sudamericana
πŸ”΅
Champions League
πŸ”΅
Premier League
πŸ”΅
FA Cup
May be an image of 1 person, playing football, playing soccer and text that says 'AFA''AFA'
Julian Alvarez created history by becoming the first player to win a club treble and FIFA World Cup in the same season.
 
Una shangaa iyo uyo anduje apo juu ali piga goal 91 msimu mmoja
Ronaldo Ali tupia 69
Lewandowsk nae alisha tupia 69

Wame goal zaidi ya hizo mala nyingi hadi ikawa kawaida
Marekebisho, sio msimu mmoja ni mwaka mmoja, mfano chukua magoli yaliyofungwa januari mwaka huu jumlisha mpaka ya disemba, maana yake hapo yameingia ya misimu miwili vipande vipande
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom