Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,059
Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko la kupinga maandamano yaliyondaliwa na baadhi ya Taasisi za kiislamu kupinga MoU kati ya serikali na kanisa na kushinikiza mahakama ya kadhi.
Kwa mujibu wa Sheikh mkuu wa Dar es salaam amewataahadhasha Waislamu kwamba madai yao hayawezi kupatikana kwa njia za maandamano.
My Take: Waislamu mkitaka kusimamia maslahi ya kwenu, kwanza ni lazima muipinduwe Bakwata maana mpaka sasa Bakwata ni kitengo cha propaganda cha CCM ambacho wanakitumia watakavyo na kuwageuza waislamu kama misukule yao.
Kwa mujibu wa Sheikh mkuu wa Dar es salaam amewataahadhasha Waislamu kwamba madai yao hayawezi kupatikana kwa njia za maandamano.
My Take: Waislamu mkitaka kusimamia maslahi ya kwenu, kwanza ni lazima muipinduwe Bakwata maana mpaka sasa Bakwata ni kitengo cha propaganda cha CCM ambacho wanakitumia watakavyo na kuwageuza waislamu kama misukule yao.