BAKWATA Yapinga maandamano ya Waislam tarehe 23 Dec 20011

polen xana wakaaz wa dar es salaam kwa maafa yaliyowakuta pia kwa ndugu zetu waliopoteza maisha mwenyezi mungu aziweke roho za marehem pema peponi, mungu alitoa mungu ametwaa jina lake lihimidiwe. Wahusika wa miundo mbinu tekelezen wajib wenu wa kurekebisha miundombinu ili kunusuru maisha ya watanzania. Kwa ndugu zangu waishio mabondeni jaman hamen mabo yameharibika.

kaka umetisha kwa mchango mzuri,wakati muafaka lakini sio mahali sahihi na mada sahihi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!ila umenifurahisha kama vile huilewi mada au umeona haina mashiko
 
Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko la kupinga maandamano yaliyondaliwa na baadhi ya Taasisi za kiislamu kupinga MoU kati ya serikali na kanisa na kushinikiza mahakama ya kadhi.
Kwa mujibu wa Sheikh mkuu wa Dar es salaam amewataahadhasha Waislamu kwamba madai yao hayawezi kupatikana kwa njia za maandamano.

My Take: Waislamu mkitaka kusimamia maslahi ya kwenu, kwanza ni lazima muipinduwe Bakwata maana mpaka sasa Bakwata ni kitengo cha propaganda cha CCM ambacho wanakitumia watakavyo na kuwageuza waislamu kama misukule yao.

Sidhani kama ni hekima kuandamana kipindi hiki jiji liko kwenye misiba ya maafa ya mafuriko kila kona! Si sahihi kiafrika kutangaza msiba wako kwenye msiba wa mtu mwingine!! Jiji lina msiba.Liachwe liomboleze na tuwaache askari wahangaike kulinda na kuokoa wahanga wa mafuriko na mali kuliko kuwapa kazi za kulinda maandamano ya watu walioshiba wasiojali waliofurikiwa na mafuriko.
 
Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko la kupinga maandamano yaliyondaliwa na baadhi ya Taasisi za kiislamu kupinga MoU kati ya serikali na kanisa na kushinikiza mahakama ya kadhi.
Kwa mujibu wa Sheikh mkuu wa Dar es salaam amewataahadhasha Waislamu kwamba madai yao hayawezi kupatikana kwa njia za maandamano.

My Take: Waislamu mkitaka kusimamia maslahi ya kwenu, kwanza ni lazima muipinduwe Bakwata maana mpaka sasa Bakwata ni kitengo cha propaganda cha CCM ambacho wanakitumia watakavyo na kuwageuza waislamu kama misukule yao.

Ninavyojua mimi bakwata imekufa kifo cha mende. Inayo viongozi pasi na kuwa na wafuasi na hiyo imejihirisha wazi kuwa ni tawi la Serikali na si waislam.

Poleni sana.

 
Nafikiri wengi hawajui Kanisa linapata kiasi gani kwa mwaka toka Serikalini kama Ruzuku kutokana na MoU hiyo. Napenda kuwajuza kuwa toka 2002 waliposaini Mou kanisa linapata Bilioni 61 kila mwaka. na kuanzia 2011 wameongezewa kufikia Bilioni 91 kwa kila mwaka.

Sasa labda kwa mwenye akili atajiuliza je kwanini fedha hizi wapewe kanisabadala ya serikali kutengeneza kama hospitali au mashule, university zake na kuziendeleza?

je wataendelea kupanga (kuwapa kanisa mpaka lini? nafikiri hapo ndio pa kufikiri zaidi.
na hapo ujajumlisha na misamaha ya kodi. hebu tazameni katika bajeti zenu za Muungano za 2009/2010 na 2010/2011 kwenye jedwali la misamaha ya kodi kwa taasisi zisizo za serikali na mashirika ya dini.
 
Sidhani kama ni hekima kuandamana kipindi hiki jiji liko kwenye misiba ya maafa ya mafuriko kila kona! Si sahihi kiafrika kutangaza msiba wako kwenye msiba wa mtu mwingine!! Jiji lina msiba.Liachwe liomboleze na tuwaache askari wahangaike kulinda na kuokoa wahanga wa mafuriko na mali kuliko kuwapa kazi za kulinda maandamano ya watu walioshiba wasiojali waliofurikiwa na mafuriko.
Mkuu hakuna wakati wa msiba mmoja.. Misiba inapotokea ni ktk mipango ya Mungu na mnazika na kuendelea na maisha. Maandamano lazima yawepo kwa sababu tunaitaka Tanzania isiyokuwa na upendeleo wala kuomba maana uongozi wa nchi ni majukumu tulowapa sisi wananchi na sio wananchi wakaombe Ikulu, laa hasha -Hatudanganyiki.

Muafaka wa MoU ufutwe na sheria ya katiba iundwe kwa ushirika wowote baina ya serikali na shule ama Hospital lakini kusiwepo kabisa na kukabidhi swala la Elimu na Afya mashirika binafsi bali mashirika haya yaifanye kazi chini ya sheria na serikali itayasaidia iwezavyo. Serikali haiwezi kuunda wizara ya mseto na kanisa halafu watu mnashindwa kuona tatizo ati kwa sababu tunasaidiwa. Basi ni bora tuunde serikali nzima ya mseto na Marekani, UK au Canada ijulikane kabisa tunatawaliwa...

Kwa muafaka kama huu mnawaona CUF ni CCM - B, sasa mnashindwa kipi kuiona CCM imeshikwa na kanisa kwa kuweka muafaka ambao unakabidhi huduma za Afya na Elimu wizara ya mseto baina ya serikali na kanisa.
 
Sawa maalim but waje na mpango mkakati wao tuanze kupiga kazi sio kujibu tu kwamba we need to pin down contracts....wao ndo waandae na ku sign ili tuone uhai wa hayo anayoyaongea sio kutoa ngonjera tuuuuu.........tunataka vitendo sasa sio kujibizana on media. Hawa si wa kuchekea tena hawa its high time kuwapa kiti moto ili wajue we need good life hapa na akhera inshaallah.....tumekuwa wapole sana in such a way that wanasahau kama kuna watu wa kuweza ku challenge maamuzi yao

Hivi hawa bakwata mathalani baada ya haya maandamano ku fail then wao wanatoa nini tangible kuboresha hali za waumin (Haramain na muslim........... just naming few among)?? It can be more than wat we see kama tutaamua sasa kuwa na viongozi wenye upeo wa mbali na kuweza ku balance ilmu zote na sisi tuwawajibishe day n nights

Kuja na mpango ni jukumu la Waislamu wote na sio BAKWATA. Hapa liangaliwe kwa namna ipi BAKWATA wanashirikisha maoni ya Waislam ktk kuyafikia matarajio. Lkn sasa hivi ukisema 'waje' hakutakuwa na tofauti na huu muswada ya marekebisho ya katiba ambao umetungwa na Serikali kwa ajili ya CCM badala ya wananchi. Cha muhimu ni kutekeleza kwa pamoja, BAKWATA ni chombo tu, lkn maazimio lazima yawe ya waislam.
 
Nafikiri wengi hawajui Kanisa linapata kiasi gani kwa mwaka toka Serikalini kama Ruzuku kutokana na MoU hiyo. Napenda kuwajuza kuwa toka 2002 waliposaini Mou kanisa linapata Bilioni 61 kila mwaka. na kuanzia 2011 wameongezewa kufikia Bilioni 91 kwa kila mwaka.

Sasa labda kwa mwenye akili atajiuliza je kwanini fedha hizi wapewe kanisabadala ya serikali kutengeneza kama hospitali au mashule, university zake na kuziendeleza?

je wataendelea kupanga (kuwapa kanisa mpaka lini? nafikiri hapo ndio pa kufikiri zaidi.
na hapo ujajumlisha na misamaha ya kodi. hebu tazameni katika bajeti zenu za Muungano za 2009/2010 na 2010/2011 kwenye jedwali la misamaha ya kodi kwa taasisi zisizo za serikali na mashirika ya dini.

Kanisa halipewi ruzuku na serikali. Serikali inatoa ruzuku kwa huduma za jamii zilizoanzishwa na kanisa kwa manufaa ya jamii nzima. Kinachokusumbua wewe ni kutokuwa na uelewa wa mipaka ya Tanzania na chuki dhidi ya kanisa na wakristo. Sijawahi kusikia Waislamu wakilalamikia misamaha ya kodi kwa MIGODI na HOTEL za kitalii. Inaonesha HOSPITALI ni adui yenu sijui!

Suala la serikali kujenga mahospitali na shule nafikiri ungekuwa na hiyo akili unayosema ungeshaona kuwa linafanyika. Kama supply ya dawa, maboresho ya miundombinu na mishahara ya watumishi wa mahospitali kwa mwaka inafikia 61bn kwa mwaka, umeshajiuliza kama serikali inao uwezo wa kumudu gharama za kujenga miundombinu yake kwa kasi ya chuki yenu?

Sasa ngoja nikusaidie kitu wewe na wenzako ambao mnaongea akili za kuambiwa bila kuchanganya na za kwenu: Kanisa linapojenga hospitali zake, halijengi ili zitumike na serikali. Ni uwezo mdogo wa serikali wa kuhudumia wananchi hasa walio mbali ndio unafanya serikali iliombe kanisa kutumika kwa ajili ya wananchi. Yanapofanyika makubaliano ya namna hiyo, serikali hugharamia uendeshwaji wa hizo hospitali na tangu hapo huduma hutolewa kwa gharama sawa na hospitali za serikali.

Wengi wa nyinyi mnaoongelea Buguruni kwa Mnyamani mnakoishi hamjui kuwa kuna Watanzania wanaishi mbali na fikra zenu. Mbaya zaidi hata hospitali zinazozungumziwa hamzijui na hamjui zinavyoendeshwa. Mnachojua ni tarakimu za fedha bila kujua ni huduma gani zinatolewa, zinatolewa wapi na kwenye mazingira gani hilo hamjui. Kwa akili yenu mnafikiri ni kanisa ndio linanufaika na MoU. Mou imewekwa kuzipunguzia mzigo hospitali zetu kwani wagonjwa hawachagui pa kwenda na wakifika kibinaadam huwezi kuwarudisha. Kwa kulielewa hili, serikali ikaamua kugharamia matibabu kwenye hospitali hizo. Mnaongelea buguruni kwa kuwa mnatibiwa Amana, mngekuwa vijjini msingekuwa na akili za hivyo. Sehemu ya kushukuru mnaleta kubana pua
 
Kanisa halipewi ruzuku na serikali. Serikali inatoa ruzuku kwa huduma za jamii zilizoanzishwa na kanisa kwa manufaa ya jamii nzima. Kinachokusumbua wewe ni kutokuwa na uelewa wa mipaka ya Tanzania na chuki dhidi ya kanisa na wakristo. Sijawahi kusikia Waislamu wakilalamikia misamaha ya kodi kwa MIGODI na HOTEL za kitalii. Inaonesha HOSPITALI ni adui yenu sijui!

Suala la serikali kujenga mahospitali na shule nafikiri ungekuwa na hiyo akili unayosema ungeshaona kuwa linafanyika. Kama supply ya dawa, maboresho ya miundombinu na mishahara ya watumishi wa mahospitali kwa mwaka inafikia 61bn kwa mwaka, umeshajiuliza kama serikali inao uwezo wa kumudu gharama za kujenga miundombinu yake kwa kasi ya chuki yenu?

Sasa ngoja nikusaidie kitu wewe na wenzako ambao mnaongea akili za kuambiwa bila kuchanganya na za kwenu: Kanisa linapojenga hospitali zake, halijengi ili zitumike na serikali. Ni uwezo mdogo wa serikali wa kuhudumia wananchi hasa walio mbali ndio unafanya serikali iliombe kanisa kutumika kwa ajili ya wananchi. Yanapofanyika makubaliano ya namna hiyo, serikali hugharamia uendeshwaji wa hizo hospitali na tangu hapo huduma hutolewa kwa gharama sawa na hospitali za serikali.

Wengi wa nyinyi mnaoongelea Buguruni kwa Mnyamani mnakoishi hamjui kuwa kuna Watanzania wanaishi mbali na fikra zenu. Mbaya zaidi hata hospitali zinazozungumziwa hamzijui na hamjui zinavyoendeshwa. Mnachojua ni tarakimu za fedha bila kujua ni huduma gani zinatolewa, zinatolewa wapi na kwenye mazingira gani hilo hamjui. Kwa akili yenu mnafikiri ni kanisa ndio linanufaika na MoU. Mou imewekwa kuzipunguzia mzigo hospitali zetu kwani wagonjwa hawachagui pa kwenda na wakifika kibinaadam huwezi kuwarudisha. Kwa kulielewa hili, serikali ikaamua kugharamia matibabu kwenye hospitali hizo. Mnaongelea buguruni kwa kuwa mnatibiwa Amana, mngekuwa vijjini msingekuwa na akili za hivyo. Sehemu ya kushukuru mnaleta kubana pua

Shizukan, Ngoja nikupe kitu kamili.

Mbona kanisa linachota Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA. Ambao waislam wapo humo?


Acheni roho mbaya kila kitu chenu tu.

Sasa jiulize kama Kanisa limeweza kujenga hospitali na mashule na vyuo vipi washndwe kuviendeleza na vitegemee ruzuku kutoka Serikalini ili viendelee. Je ile misamaha ya kodi isingetosha mpaka hii ruzuku.

Jiulize kama mtu unayefikiri kwa maslahi ya taifa lako. Kama Serikali ingetumia Ruzuku hiyo kila mwaka kujenga shule au chuo au hospitali je sasa ingekuwa na shuule au hospitali au vyuo vingapi tokea 1992?

Je ni busara Serikali ya Tanganyika kujivunia vitu vya kanisa badala ya vyake wenyewe?

Kuna namna hapo. Hebu tafakur kwanza.


 
Shizukan, Ngoja nikupe kitu kamili.

Mbona kanisa linachota Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA. Ambao waislam wapo humo?


Acheni roho mbaya kila kitu chenu tu.

Sasa jiulize kama Kanisa limeweza kujenga hospitali na mashule na vyuo vipi washndwe kuviendeleza na vitegemee ruzuku kutoka Serikalini ili viendelee. Je ile misamaha ya kodi isingetosha mpaka hii ruzuku.

Jiulize kama mtu unayefikiri kwa maslahi ya taifa lako. Kama Serikali ingetumia Ruzuku hiyo kila mwaka kujenga shule au chuo au hospitali je sasa ingekuwa na shuule au hospitali au vyuo vingapi tokea 1992?

Je ni busara Serikali ya Tanganyika kujivunia vitu vya kanisa badala ya vyake wenyewe?

Kuna namna hapo. Hebu tafakur kwanza.



Hizi data zako za uongo zimetokana na estimates ambazo Mdondoaji aliwahi kuzitoa kule kwenye uzi wa Mohamed Said. Calculations hizo ni fake na wewe unajua ni fake, ila kwa sababu alizitoa Mdondoaji (sie tulizipuuza) wewe umeamua makusudi kuziamini na kuendelea kuzitawanya kwa wahasidi wenzio ambao nao wataendelea kuziamini. Tunafahamu kuwa lengo lenu ni kupandikiza/kuikuza chuki ya vijana wa kiislam dhidi ya wakristo. Hoja ya MoU imejadiliwa sana humu na upande wako wewe umeshindwa. Hata Rais na wasomi waislam (wazalendo) wanajua kuwa MoU hiyo ni nzuri. Cha ajabu wewe raia wa OMAN unashupalia mambo haya tena ukijua kuwa estimates zenyenywe ni fake! Nafikiri nitakuwa sahihi kukuita wewe mhasidi kwa Taifa letu la Tanzania. By the way, lini tutajadili mambo ya Taifa lako la OMAN?
 
Nafikiri wengi hawajui Kanisa linapata kiasi gani kwa mwaka toka Serikalini kama Ruzuku kutokana na MoU hiyo. Napenda kuwajuza kuwa toka 2002 waliposaini Mou kanisa linapata Bilioni 61 kila mwaka. na kuanzia 2011 wameongezewa kufikia Bilioni 91 kwa kila mwaka.

Sasa labda kwa mwenye akili atajiuliza je kwanini fedha hizi wapewe kanisabadala ya serikali kutengeneza kama hospitali au mashule, university zake na kuziendeleza?

je wataendelea kupanga (kuwapa kanisa mpaka lini? nafikiri hapo ndio pa kufikiri zaidi.
na hapo ujajumlisha na misamaha ya kodi. hebu tazameni katika bajeti zenu za Muungano za 2009/2010 na 2010/2011 kwenye jedwali la misamaha ya kodi kwa taasisi zisizo za serikali na mashirika ya dini.

Hivi kwenye vitabu vya bajeti ya 2009/10 na 2010/11 hizo data zako ziko chini ya vote na sub vote ipi? Sijaona
 
mkuu barubaru tunaomba uthibitisho ya hiyo mihela unayosema kanisa linachota, kumbuka maneno matupu......... so kama una karatasi au risiti na vitu vingine vyovyote vyenye kuonyesha jinsi hii mihela inavyolipwa sawa..natanguliza shukrani zangu katika hilo..
 
Wangeandamana,ila tatizo ni matishio ya AL-SHABAB wetu ambao kamanda wao ni SAIDA MUEMA!
AL shabab hawa ni hatari!
 
haki ni kama maji yatiririkayo bondeni huwezi kuyazuia milele. SERIKALI INAYOFANYA KAZI YA KANISA haiwezi kujinadi kwamba inafanya kazi ya umma wote bila ubaguzi.

Tunataka Serikali ijenge shule na mahospitali, siyo kutoa pesa za umma kwa Taasisi za kibiashara za Makanisa.
Makanisa yaendeshe taasisi zao na Serikali Ilinde katiba.

MOU ILE NI KINYUME CHA KATIBA.
 
KUandamana ssidhdhani kama wanaelewa wanacho andamania.kama ni maandamano wakristo ndo wange andamana kuipinga selikiali kutumia huduma zake kuwahudumia watu wote maana kanisa halipati faida bali serikali ambayo badala ya kujenga majengo yake inatumia majengo ya kanisa kutolea huduma pamoja na waaislamu wakiwemo.sasa wanaandamana kwa kitu gani nao wakitaka wajenge majengo waipe selikalim itolee huduma.Selikali hamlipi askofu,padre au siister mshahara, inalipa watanzania wanao toa huduma pamoja na kupeleka madawa ili wananchi inao pashwa kuwahudumiua wapate hiyo huduma bure sasa kanisa kama kanisa linafaidika nini kama sio huduma za jamii.Ndugu zangu wanahitaji kula kitabu siyo koroani tu watachanganyikiwa wasaijue kinacho wachanganya.
 
Mkuu hakuna wakati wa msiba mmoja.. Misiba inapotokea ni ktk mipango ya Mungu na mnazika na kuendelea na maisha. Maandamano lazima yawepo kwa sababu tunaitaka Tanzania isiyokuwa na upendeleo wala kuomba maana uongozi wa nchi ni majukumu tulowapa sisi wananchi na sio wananchi wakaombe Ikulu, laa hasha -Hatudanganyiki.

Muafaka wa MoU ufutwe na sheria ya katiba iundwe kwa ushirika wowote baina ya serikali na shule ama Hospital lakini kusiwepo kabisa na kukabidhi swala la Elimu na Afya mashirika binafsi bali mashirika haya yaifanye kazi chini ya sheria na serikali itayasaidia iwezavyo. Serikali haiwezi kuunda wizara ya mseto na kanisa halafu watu mnashindwa kuona tatizo ati kwa sababu tunasaidiwa. Basi ni bora tuunde serikali nzima ya mseto na Marekani, UK au Canada ijulikane kabisa tunatawaliwa...

Kwa muafaka kama huu mnawaona CUF ni CCM - B, sasa mnashindwa kipi kuiona CCM imeshikwa na kanisa kwa kuweka muafaka ambao unakabidhi huduma za Afya na Elimu wizara ya mseto baina ya serikali na kanisa.

Mkuu Mkandara nami napenda sana Maandamano yawepo ila tuongeze wigo wa Madai kwamba Wakati Serikali inavunja MoU na Kanisa vilevile Bakwata irejeshe Majengo ya Muslim University of Morogoro kwa Serikali
 
Nafikiri wengi hawajui Kanisa linapata kiasi gani kwa mwaka toka Serikalini kama Ruzuku kutokana na MoU hiyo. Napenda kuwajuza kuwa toka 2002 waliposaini Mou kanisa linapata Bilioni 61 kila mwaka. na kuanzia 2011 wameongezewa kufikia Bilioni 91 kwa kila mwaka.

Sasa labda kwa mwenye akili atajiuliza je kwanini fedha hizi wapewe kanisabadala ya serikali kutengeneza kama hospitali au mashule, university zake na kuziendeleza?

je wataendelea kupanga (kuwapa kanisa mpaka lini? nafikiri hapo ndio pa kufikiri zaidi.
na hapo ujajumlisha na misamaha ya kodi. hebu tazameni katika bajeti zenu za Muungano za 2009/2010 na 2010/2011 kwenye jedwali la misamaha ya kodi kwa taasisi zisizo za serikali na mashirika ya dini.

Raia wa Oman tangu lini akawa na uchungu na Tanzania??kama sio uchochezi ni nini..
 
Malaria Sugu, Tropical, Ritz1 na FaisalFox, vipi tupeni marejesho maandamano ya Mahakama ya Khadhi yalifana kiasi gani kote nchini?
 
Nafikiri wengi hawajui Kanisa linapata kiasi gani kwa mwaka toka Serikalini kama Ruzuku kutokana na MoU hiyo. Napenda kuwajuza kuwa toka 2002 waliposaini Mou kanisa linapata Bilioni 61 kila mwaka. na kuanzia 2011 wameongezewa kufikia Bilioni 91 kwa kila mwaka.

Sasa labda kwa mwenye akili atajiuliza je kwanini fedha hizi wapewe kanisabadala ya serikali kutengeneza kama hospitali au mashule, university zake na kuziendeleza?

je wataendelea kupanga (kuwapa kanisa mpaka lini? nafikiri hapo ndio pa kufikiri zaidi.
na hapo ujajumlisha na misamaha ya kodi. hebu tazameni katika bajeti zenu za Muungano za 2009/2010 na 2010/2011 kwenye jedwali la misamaha ya kodi kwa taasisi zisizo za serikali na mashirika ya dini.

Ok, na hilo kanisa kupitia mahospitali, elimu na hduma nyingine za jamii wanacharudisha huduma za gharama gani kwenye nchi???
 
Back
Top Bottom