Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
- Thread starter
- #21
Angekua anatoa salaam ya 'Bwana Yesu Asifiwe" waislam wangetishia kuandamana kupinga hiyo salaam.
wakiristo wamekaa kimya bila ya kuongea neno
kwa clouds fm kueneza udini kwa kuweka vipindi vya kuamasisha udini
sajawai kusikia wanasema Kristu......tumain letu
Je kwa nini serikali iko kimya kwa clouds fm kueneza udini?