Mkiliman
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 983
- 340
MS...hakuna kiwango rasmi kilichotangazwa ktk kupandisha mishahara, mtazamo wako ni finyu ktk hili na unapojaribu kuleta thread yenye mlengo wa mtawala unapotosha wananchi. Usiwe kama gazeti la Habarileo au Uhuru wao wanaandika mishahara juuuu! juu ya how much or lini kiwango hicho kitaanza kutumika?