Kama budget inatumika according to planning - kuna kitengo cha kutathmini/kukagua utekelezaji?? ambacho kinatakiwa kuandika report na kuiweka hadharani - au kunakuwa na planning, budget inawekwa halafu hakuna checking?? Mimi sijasikia watu kuwabishwa kwa kutumita budget (hela za kodi) vibaya - ukiachia audit inayofanywa na Auditor General wa serikali - kunatakiwa na physical check - otherwise hela zinazotengwa zinakwenda kwenye mambo mengine ndio maana kila mwaka mipango haitekelezwi - anakuja waziri huyu anaondoka, mambo yako pale pale - na Wabunge wa sehemu husika wako busy kuchukua allowance zao nene na kutofatilia hadi wakati wa uchaguzi - God help Tanzania