Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Utofauti wake wa mwendo ulimfanya baba ake amuulize...
baba: Mbona unatembea ivo kama unayumbayumba
baharia: Unajua baba, nimefanya kazi muda mrefu ktk meli na kule kuna mawimbi, kwaiyo kule siwezi kutembea sawa sawa, kwaiyo ndiyo nimeshazoea kutembea kama nipo kule
baba: Mbona mimi mama ako ninalala naye mwaka wa 35 na nikitembea sikati viuno??
baba: Mbona unatembea ivo kama unayumbayumba
baharia: Unajua baba, nimefanya kazi muda mrefu ktk meli na kule kuna mawimbi, kwaiyo kule siwezi kutembea sawa sawa, kwaiyo ndiyo nimeshazoea kutembea kama nipo kule
baba: Mbona mimi mama ako ninalala naye mwaka wa 35 na nikitembea sikati viuno??