Mi mzima mkwe. . .
Hahahaha mkwe embu nivumilie bana. . . Jan imekua Feb ila itafika tu.
Hiyo ya kukumbishwa hhhm . . . Ngoja niishie kuguna tu.lolz
DA hizo namba 3 hizo. . . .
Yakwako inabidi uifanyie kazi kidogo aisee. Kuomba samahani muhimu sana.
Tuko pamoja kwenye hayo dear....unaendeleaje?
Which bad habits do you HAVE/HATE when it comes to relationships?
Nnazochukia:
1. Nachukia mwanaume kuwa insecure.It creates a lot of unnecessary tension.
2. Nachukia mtu anapokumbatia simu yake japo hata akiiacha sitohangaika nayo.
3. Nachukia mtu kudanganya HASWA vitu ambavyo vinaonekana kabisa sio vyalazima.
4. Nachukia mtu kutokua na shukrani na kuchukulia kwamba kwa kuwa na mwenzi wake anamfanyia favor.
5. Nachukia mtu kuchukua mambo ya ndani (mahusiano yao ) na kuyapeleka nje. .iwe mabaya ya sebuleni au mazuri ya chumbani.
6. Nachukia mtu kutomwamini mwenzake bila sababu yoyote ile.
7. Nachukia mtu anapotaka maelezo ya kitu fulani alafu anayakataa akipewa, kwasababu sicho alichotaka kusikia.
8. Nachukia mtu kumtumia mwenzake kifedha/kimwili/kihisia huku akimuaminisha kwamba anampenda.
9. Nachukia mtu kumwambia mwenzake "NAKUPENDA" wakati hamaanishi.
10. Nachukia mtu kumtisha mwenzake na "TUACHANE" kila siku.
11. Nachukia mtu kumnyanyasa mwenzake kwakua tu anajua anampenda.
12. Nachukia mtu kuwa mbinafsi kupitiliza kuhusu mahitaji yake bila kujali mahitaji ya mwenzake. Mf sex. . . mmoja anataka tu na akikosa analalamika bila kujali kwamba mwenzake anaweza akawa hayuko vizuri, au mmoja anakataa bila sababu ya msingi bila kujali kwamba mwenzake anahitaji.
13. Nachukia mtu kuwa mlalamishi kwa kila kitu, kila wakati.
. . . . . . . .
Ha ha haa...DA tayari ameshatubu ''dhambi zake" bado naespect makomredi zaidi waseme mbofu mbofu zao...Lakini mbona hii ya msimamo binafsi almaarufu km Kiburi imekua intermediate factor? Maana kila mmoja amekiri kua na kiburi ila kwa aina yake alivyoweza kusema mwenyewe...
Hahahaha.. . . Ukichangia na mood ya kuimba leo ngoja niwakomeshe majirani. Lolzz
Hilo la kwako la "Uvivu" nafikiri na mie ninalo aisee maana 6x6 nasikiaga uvivu kupita maelezo.
Naendelea poa "Dearest" Source Michelle
Sijijui nikoje, honestly I am who I am.
Pamoja sana kwenye red highlights, na zaidi siku hizi nachukia sana mtu asiyenipa pesa ya kujikimu (chakula, mavazi, ugonjwa na hata mavazi).
Ambayo sijahighlight naweza compromise.
Let me explain......
Nimejifikiria nahisi nina ya "Uvivu" mana hiyo 3 ya juu yaani huwa mpaka nachukia kabisa nadhani ni uvivu.
Hiyo 3 ya chini hata ukimuomba msamaha atakusimanga mpaka ujute so nikalia kimya hata kama nimekosa najifanya sijakosa ili akose cha kusema ukiomba tu msamaha umempa bichwa kuanza kurap
Huko ndo kabisaa sinaga appetite....mvivu 100%....lol....ukiweka tena na mazingira nisiyoyapenda ndo kabisaaaaaa....lol
Dearest tujitahidi bwana,tusije laumiwa kuwa chanzo cha wenzi kutoka nje....manina zao,hata ujitutumueje wanatoka tu...be yourself....thats the best advice...lol
Huko ndo kabisaa sinaga appetite....mvivu 100%....lol....ukiweka tena na mazingira nisiyoyapenda ndo kabisaaaaaa....lol
Dearest tujitahidi bwana,tusije laumiwa kuwa chanzo cha wenzi kutoka nje....manina zao,hata ujitutumueje wanatoka tu...be yourself....thats the best advice...lol
Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hapo tu...ndo mwanzo wa furaha na ushirikiano wa kila kitu....lol
Sijijui nikoje, honestly I am who I am.
Pamoja sana kwenye red highlights, na zaidi siku hizi nachukia sana mtu asiyenipa pesa ya kujikimu (chakula, mavazi, ugonjwa na hata mavazi).
Ambayo sijahighlight naweza compromise.
Sasa nimekusoma DA. .. Kama mtu haappreciate wewe kumwomba samahani na anatumia hicho kitendo kukusema basi unamwacha tu.
Hahahahha dearest unataka waniwekee taarab tuanze kupeana madongo ehhh? Alafu kesho asubuhi nakutana na kanga imeandikwa "una nyodo ehhh" na nyingine "utahama" kwenye karo la vyombo.Ukiona wamenuna wawekee ule wa Twanga Pepeta 'Jirani' Jirani Jirani yangu wee nimekukosea nini? Kila ninachokitaka jirani eeeh? mwenzangu wanikatalia....wataku-join hapo....lol
umeona eeeh
dearest,kuna watu tu wanafurahi kupewa hela na mpenzi wake au kulipiwa huduma fulani haijalishi analipwa zaidi,na kuna wanaume hata kama anajua unapata zaidi,anajisikia raha kukupa hela ya matumizi....its is sweet...mi love that very much,it means a lot!AG pesa ya kujikimu hata kama wewe unapata zaidi yake?