Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,420
- Thread starter
- #41
Hahahaha. . . Kumbe babu UNAJITAMBUA ehhhh? Hongera. . Ila upunguze ubabe.hahahah
1. Aisee papito Matesha hesbau zinamsumbua sana, hebu msaidie basi............ '! "Ngoja mpaka afike la saba bana" (ubishi)
2. Epson alisema kuna mbuzi anaumwa kule shamba, kesho ukiwahi uende basi ..... "kwani mi daktari wa mifugo? ntampigia dk akamwangalie".... (ukaidi)
3 Nikiwa nimejilalia home weekend mara wanakuja wageni, marafiki zake.... "Papito kuna marafiki zangu wamekuja wanataka wakuone wakusalimu"......... "Hapo sebuleni si kuna picha yangu".......... Ujeuri
4. Papito, umemaliza dozi jana tu leo unaenda kunywa jamani........... "Kwani we daktari wangu"..... Ubabe