Bad habits

hahahah

1. Aisee papito Matesha hesbau zinamsumbua sana, hebu msaidie basi............ '! "Ngoja mpaka afike la saba bana" (ubishi)
2. Epson alisema kuna mbuzi anaumwa kule shamba, kesho ukiwahi uende basi ..... "kwani mi daktari wa mifugo? ntampigia dk akamwangalie".... (ukaidi)
3 Nikiwa nimejilalia home weekend mara wanakuja wageni, marafiki zake.... "Papito kuna marafiki zangu wamekuja wanataka wakuone wakusalimu"......... "Hapo sebuleni si kuna picha yangu".......... Ujeuri
4. Papito, umemaliza dozi jana tu leo unaenda kunywa jamani........... "Kwani we daktari wangu"..... Ubabe
Hahahaha. . . Kumbe babu UNAJITAMBUA ehhhh? Hongera. . Ila upunguze ubabe.
 
Hapo kwenye red
Shetwain tokaaaa, mwachie mtu huyuuu
Nakuamuru kimbia
Ewe pepo uliyetumwa na jirani yake, kimbia upesi

1. Jitu limekuja kaunta linakukuta unakunywa Tusker Malt yako taratibu, afu na lenyewe linaagiza yake afu linamwambia akaunta "Hii bia atalipia ODM"......... Pumbaf kabisa.
2. Umechukua kimwana chako ushalipia room yenye godoro la comfy, unamwambia kimwana twenzetu tukaunganishe vimwaga mkojo vyetu mara unajibiwa oh sorry, cha kwangu kiko kwenye emergency leave.... damn it!
3. Unaenda kanisani kupunguza zambi zako basi padre/mchungaji ye anazungumzia umuhimu wa kumtolea Bwana sadaka tuuuuuu..... shit!
4. Umemwaga yuziful post kama hii, watu wanaipenda afu wanacheeka lakini wanasahau kuitendea haki ya kuigongea kale ka chakula ka LIKE..... manina!
 
Tabia mbaya nilio nayo ni kupenda penda wanawake wazuri....(Yani hapo lazima mjuwe kupenda si ku sex)

Hakuna kitu nachukia if she doesn't trust me.
 
Tabia mbaya nilio nayo ni kupenda penda wanawake wazuri....(Yani hapo lazima mjuwe kupenda si ku sex)

Hakuna kitu nachukia if she doesn't trust me.

Unawa'penda penda' kwa malengo gani?
 
Which bad habits do you HAVE/HATE when it comes to relationships?

Mine:
1. Naweza kuonekana sijali sana kwa kumpa mtu uhuru wake na kutomfuatilia kama mtoto.
2. Ni ngumu kuomba zile samahani za 'kulazimishwa' kosa kafanya yeye samahani anaitaka kwangu.
3. Napenda usawa linapokuja swala la kutendeana mazuri/kuheshimiana n.k
Na hii ni bad habit kutegemeana na nyakati maana nimegundua kiasi flani cha watu hawakubaliani na hilo. . wao wanataka kuheshimiwa ilhali hawawaheshimu wenzao n.k
4. Mkorofi, kwa wale wanaopenda kuendesha wenzao.
5. Mbishi, kwa wale wasiopenda majadiliano.
6. Kiburi
7. Sina UVUMILIVU kwa kiasi kile ambacho wengi wanataka/pendelea.
Nnazochukia:
1. Nachukia mwanaume kuwa insecure.It creates a lot of unnecessary tension.
2. Nachukia mtu anapokumbatia simu yake japo hata akiiacha sitohangaika nayo.
3. Nachukia mtu kudanganya HASWA vitu ambavyo vinaonekana kabisa sio vyalazima.
4. Nachukia mtu kutokua na shukrani na kuchukulia kwamba kwa kuwa na mwenzi wake anamfanyia favor.
5. Nachukia mtu kuchukua mambo ya ndani (mahusiano yao ) na kuyapeleka nje. .iwe mabaya ya sebuleni au mazuri ya chumbani.
6. Nachukia mtu kutomwamini mwenzake bila sababu yoyote ile.
7. Nachukia mtu anapotaka maelezo ya kitu fulani alafu anayakataa akipewa, kwasababu sicho alichotaka kusikia.
8. Nachukia mtu kumtumia mwenzake kifedha/kimwili/kihisia huku akimuaminisha kwamba anampenda.
9. Nachukia mtu kumwambia mwenzake "NAKUPENDA" wakati hamaanishi.
10. Nachukia mtu kumtisha mwenzake na "TUACHANE" kila siku.
11. Nachukia mtu kumnyanyasa mwenzake kwakua tu anajua anampenda.
12. Nachukia mtu kuwa mbinafsi kupitiliza kuhusu mahitaji yake bila kujali mahitaji ya mwenzake. Mf sex. . . mmoja anataka tu na akikosa analalamika bila kujali kwamba mwenzake anaweza akawa hayuko vizuri, au mmoja anakataa bila sababu ya msingi bila kujali kwamba mwenzake anahitaji.
13. Nachukia mtu kuwa mlalamishi kwa kila kitu, kila wakati.
. . . . . . . .

mimi nachukia pale mtu anapokosea, na ANAJUA anamakosa alafu ANAPOTEZEA,, na anaexpect kila kitu kiendelee kama kawaida..
Ya kwangu:
nitamchunia hasa, mpaka atakapojielewa na kuomba msamaha, then kila kitu kitaendelea kama kawaida
 
Mine:
1. Nawezakuwa na upendo wa hali ya juu kwa nimpendae ila nina ugonjwa wa kuchelewa kujibu message zake za simu au kutotimiza nilichompromiss.
2. sometimes siwasiliani nae kwa makusudi ili aendelee kunimiss na kuniwaza.
3. simwambii yeye ni mzuri ili asipeperuke :lol:
4. napenda mwanamke alipe bili kila tunapoenda lunch/dinner,,

Nnazochukia:
1. Nachukia mwanamke anayejikuta mzuri muda wote kumbe hana lolote,,
2. Nachukia mtu anayeombwa msamaha mwezi mzima na bado hasamehi.
3. Nachukia unafki hasa wa kulenga kugombanisha watu,,

 
mimi nachukia pale mtu anapokosea, na ANAJUA anamakosa alafu ANAPOTEZEA,, na anaexpect kila kitu kiendelee kama kawaida..
Ya kwangu:
nitamchunia hasa, mpaka atakapojielewa na kuomba msamaha, then kila kitu kitaendelea kama kawaida
Beby unachofanya wewe na usichopenda vinaendana sana. Usitegemee kwamba mwenzi wako ni 'mind reader' . . .kama kakuboa mweleze badala ya kununa tu wakati mwenzio hajui/haelewi nini haswa kinachokusumbua. Kwahiyo akijifanya kupotezea hakikisha anaelewa ni kwa kiasi gani alichofanya/alichosema kilivyokukera, maana ye anaweza akawa aanapotezea kwa kushibdwa kuelewa ni kwa kiasi gani amekosea.
 
I've lived through #10 its a pain in the neck indeed.. Halafu katika bad habit yako # 6 mbona haujaitolea explanations kama nyingine au ndio part and parcel of your personality?
 
Mine:
1. Nawezakuwa na upendo wa hali ya juu kwa nimpendae ila nina ugonjwa wa kuchelewa kujibu message zake za simu au kutotimiza nilichompromiss.
2. sometimes siwasiliani nae kwa makusudi ili aendelee kunimiss na kuniwaza.
3. simwambii yeye ni mzuri ili asipeperuke :lol:
4. napenda mwanamke alipe bili kila tunapoenda lunch/dinner,,

Nnazochukia:
1. Nachukia mwanamke anayejikuta mzuri muda wote kumbe hana lolote,,
2. Nachukia mtu anayeombwa msamaha mwezi mzima na bado hasamehi.
3. Nachukia unafki hasa wa kulenga kugombanisha watu,,


Kwahiyo wewe ni Mr. 'I can't keep my promises'? Badilika aiseee. . .hamna kitu nachukia kama ahafi hewa. Kama huna uhakika na kitu ni bora usiahidi ili ukifanya au usipofanya kusiwe na matatizo.
Alafu usipomsifia mwenzio ataishia kusiwa na wenzio na bado akapeperuka kwa kuona kwamba hutambui alivyo. . .

Hahahahaha kwanini alipie yeye kila mara?
 
Lizzy mimi napenda kwa kutazama tu, kuna wanawake wengine wakipita mbele yako inabidi umsifie mungu.

Ohhh kama ni hivyo sio mbaya. . . ila inabidi ujifunze kuangalia kistaarabu sio unadrool mpaka unasahau umekaa na mpenzi wako.
 
I've lived through #10 its a pain in the neck indeed.. Halafu katika bad habit yako # 6 mbona haujaitolea explanations kama nyingine au ndio part and parcel of your personality?

Hahahaha wala na nimeshaEdit. Inakua hivyo pale mtu anaponisukuma/agiza kama mtoto kufanya mambo. Yani nachukia sana being ordered around. . . Kwahiyo mtu akiniagiza nakaidi.
 
  • Kuchukuliwa kama mtoto ama kua handled kama yai... kama vile nipo fragile....
  • Lack of Uwazi.... ana loads of things he wishes to express but just Can't! Labda tu kwa kuhofia kukuumiza.
AshaDii,

Mnapenda sana ukweli lakini hamuuwezi ku handle...wanaume wote leo waamua wafunguke waseme ukweli , mwengine unakuta ame do na mdogo wako wa kike aliyekuwa anakuja kuja hapo kwako, mwengine ka do na secretary, mwengine housegirl, Mwengine ana mtoto kamuacha huko masomoni alipotoka juzi juzi, mwengine bado ana mahusiano na ex wake ambaye uliamini waliishachana, Mwengine ana do na msichana wa jirani, mwengine amezaa na bar maid mtaa wa pili, mwengine ame do na mama yako mdogo ambaye anamwita mkwe , mwengine your best friend kabisa anakuja na hapo kwako mnakula wote unamuelezea mambo yako yote ...........

Mwisho utaanza kusema kwa nini ulinambia haya mambo? coz ukielezwa ukweli wewe kama mwanamke huna uvumilivu wa kusema usim confront huyo mhusika lazima utaanzisha valangati na hamna mwanaume anapenda drama!
 
  • Mtu kujiona PERFECT na kuona hana Mapungufu kabisa ila mwenzie ndio Mwenye mapungufu.
  • Kutomsoma mwenzio... Kushindwa elewa kua nipo wakati gani happy/sad/frustrated..
  • Kuchukuliwa kama mtoto ama kua handled kama yai... kama vile nipo fragile....
  • Lack of Uwazi.... ana loads of things he wishes to express but just Can't! Labda tu kwa kuhofia kukuumiza.
  • Hayupo responsible... Not being a Man i could say...

baada ya kukusoma kwa muda tangu umekuja dada asha,nimethibitisha kile nilikiona kwenye post zako za mwanzo na kupata picha ya wewe ni mtu /mwanamke wa aina gani!naomba uniruhusu niseme unanivutia sana na namuonea wivu kaka angu(yani mwenzi wako)!
 
Hahahaha wala. . . inakua hivyo pale mtu anaponisukuma/agiza kama mtoto kufanya mambo. Yani nachukia sana being ordered around. . . Kwahiyo mtu akiniagiza nakaidi.

So being marshalled around is not your thing,this is natural and understandable. Mimi nikajua ndo wale hata useme:
-'my lady/love/baby can you please bring some water for me on your way from the kitchen?'
Jibu linakuwa:
-'Make use of them long hind limbs of yours'.
 
Back
Top Bottom