Ooh,safi sana mkuu! Shukrani za dhati zimfikie bi mkubwa,kumbe wakitubania tunalainika kiasi cha kulegeza misimamo yetu. Safi mkuu kurudisha avatar tuliyoizoea na ni alama inayokutambulisha kwa kiasi kikubwa.
Mungu aepushe wasije wakaitumia yakawa ya ruksa. Kuna kitu hujagundua mkuu. Shem wetu bila shaka anatembelea humu jamvini na kuona harakati zako. Kasi yake ya kukubalasa huoni imechangiwa na maoni ya wadau kuhusu avatar yako? Muulize atakuambia ukweli huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.