Bachelor of commerce in tourism and hospitality management.

Monasha

JF-Expert Member
Apr 2, 2011
561
422
Sina shaka kwamaba kila mmoja wenu ni mzima wa afya.
Wakuu mimi nauliza kwamba hii course ya bachelor of commerce in tourism ambayo ni mpya pale UDSM, ambako ndipo nilipopangwa, mnaionaje??
Nimepangiwa UDSM na course ndo hiyo hapo juu. Naombeni mawazo yenu katika hili.

Asanteni na nawasilisha.
 
jiandae kusoma accountancy, business mathematics bila kusahau uchumi.
 
Hivi ndio unasoma hiyo course uje kuwa nani?
Opt for bcom accounts or finance! Hizo nyingine zitakusumbua kwenye job market
 
Ina maana hata kujiajiri sitoweza??aaaah mkuu ajira si lazima uajiriwe tu na mtu au kampuni.

Asante kwa mchango wako lakini mkuu.
 
Sina shaka kwamaba kila mmoja wenu ni mzima wa afya. <br />
Wakuu mimi nauliza kwamba hii course ya bachelor of commerce in tourism ambayo ni mpya pale UDSM, ambako ndipo nilipopangwa, mnaionaje??<br />
Nimepangiwa UDSM na course ndo hiyo hapo juu. Naombeni mawazo yenu katika hili.<br />
<br />
Asanteni na nawasilisha.
B.com inabaki kuwa B.com, hizo nyingine mbwembwe tu.
 
Sina shaka kwamaba kila mmoja wenu ni mzima wa afya.
Wakuu mimi nauliza kwamba hii course ya bachelor of commerce in tourism ambayo ni mpya pale UDSM, ambako ndipo nilipopangwa, mnaionaje??
Nimepangiwa UDSM na course ndo hiyo hapo juu. Naombeni mawazo yenu katika hili.

Asanteni na nawasilisha.

Mawazo ultakiwa kuomba kabla hujaomba kozi.
Kwa sasa ni sawa na kumpa maiti dawa.
Kasome ukimaliza upambane na soko la ajira.
 
Mawazo ultakiwa kuomba kabla hujaomba kozi.
Kwa sasa ni sawa na kumpa maiti dawa.
Kasome ukimaliza upambane na soko la ajira.

Hahaaha...Mkuu acha zako za kukatisha tamaa. Mimi sina hofu na ajira kwani ajira si lazima tu uajiriwe kaka. Unaweza pia kujiajiri.

Mimi nilichokuwa nahitaji ni kwamba wewe kama member na great thinker, unaionaje hii course. Sijaomba ushauri wa kwamba nikasome au la.
Wewe kama wewe unaionaje course hii mpya udsm?? Na kwa mfano ni wewe ndo unasoma unaonaje??
 
Hongera Mdogo wangu,nenda kasome hiyo kozi,ukifika 2nd Year ,utaamua la kufanya,huna haja ya kuchanganyikiwa kabisa
 
Hongera Mdogo wangu,nenda kasome hiyo kozi,ukifika 2nd Year ,utaamua la kufanya,huna haja ya kuchanganyikiwa kabisa

Nashukuru sana mkuu. Lakini unaposema ukifika second year niamue ina maana kutakuwa na mabadiliko??Au inakuwaje hapo??
 
Hongera Mdogo wangu,nenda kasome hiyo kozi,ukifika 2nd Year ,utaamua la kufanya,huna haja ya kuchanganyikiwa kabisa
nowdays wanaspecialize mapema, siyo kama enzi zetu sisi ukifika 2nd year unachagua uende wapi.
 
yap sababu utasoma koz za accounting, finance,marketing na human resources, mtaachana koz chache 2nd na 3rd year, ila 1st mnakuwa sawa.
Usiwazie Bcom ya miaka yetu ile ya zamani!
Sasa hivi from first year mtu unaopt kama ni accounts, finance, material mgt or human resource!
Wanakuwa wanasoma vitu tofauti kabisa kuanzia mwaka wa kwanza!
 
Back
Top Bottom