Mi nshamjua..
Weee ngoja na sisi tupate ndo slede ifungwe....
Kama Tanmo ameshaona kitovu najitoa kwenye kinyang'anyiro lol!
Hahahhahaaaa hadi najishtukia aisee fuh
Am flattered! Ila uta copy na ku paste vipi message ya kaby bana.. Mi staki, labda untungie ya kwangu.. Nimekuruhusu hata ku "google" ..lol
Mchumba kuna hela za huyu binti nilimpa kloro amfikishie na hazijafika sasa ananidai mimi bado na ni co-worker wangu nashangaa kunianika hapa na tunaweza maliza kazini.
Hayanihusu,ngoja nipite zangu tu.
mtaje kama una ubavu huo
Napita 2.rated 18.
hebu jitoe haraka kabla sijakutoa arifu.
Kuna watu wanataka kupigana hapa naona nkimtaja itakua balaa bure bora kila mtu ajue ni yeye.. Hahaha..
usihofu nitamwandalia nyingine atakutumia kesho jamani napenda mpendane halafu mnaendana kweli,
Dah!asante kwa msg tamu nadhan ni cjakosea kupest kwenye wall ya rejao wangu lol!kaby niandalie ya ukweli ya kumbom mtu hela hahaha!
Pedejee gani tena baby nina wivu balaa lol!thats why i love you wii ntakupa story ya lile pedeshee la juzi
Yeye mwenyewe alisema nimpe ampelekee lakini kwa kuwa umesema nitamlipa tena sweety.wala haujaisha,sitaki bwana madeni mie!hebu niambie utalipa lini ili twende uswizi kwa amani?
Kaby hebu uniambie huu ushenga umeuanza lini?
Kaby hebu uniambie huu ushenga umeuanza lini?
sawa mpenzi wangu ndo maana nakupenda,msikivu kweli wewePedejee gani tena baby nina wivu balaa lol!
Mkaka flani hivi hata jina lake nimesahau
Yeye mwenyewe alisema nimpe ampelekee lakini kwa kuwa umesema nitamlipa tena sweety.