sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Wewe tena swt wifi?!.. Sithubutu asilani...khaa mikwara yote hiyo.usinifukuzie ndege wangu chonde chonde wii
Wewe tena swt wifi?!.. Sithubutu asilani...khaa mikwara yote hiyo.usinifukuzie ndege wangu chonde chonde wii
Hahhahaa eti DELETE HARAKA KABLA HUSNA HAJAIONA....LOL
Ngoja nimwite Nitonye nae aone
Hureeee! mchakato umeisha skredi clozedi hahaha!...uporoto wa kwangu lol
Huku ukija hufiki maana kona ni nyingi na njia ina akina puliza wengi aje....halafu mumeo kawa mleviiiiiii siku....anakunywa hadi KibukuAfu wewe unapenda kweli kunichonganisha na my sweetlove, nikiachika nakufuata mpaka kwenu!
Dah!!!!
hehehe ntamtaja tu,moyo wangu umemdondokea sili silali lol
Hureeee! mchakato umeisha skredi closedi hahaha!
Mi nshamjua..
Uporoto hapa hata salamu naona haina maana!! Naomba nilipe deni langu ninalo wadai na Kloro, leo nipo kikazi zaidi na full of HASIRA! lol
mdaku weewe khaaa..!
Hata hivyo nilikuwa nazugazuga tu natafuta namna ya kumdedicate....teh teh
Amy umeona hiyo mesage?? Kaiweka Kaby ila ni special for from Eb52
Hahaha! Acha kumsema bamkwe wangu atajing'ata bana!
Zawadi yako utaikuta ukija Geneva of Africa.....
We fanya mambo...teh
Mchumba kuna hela za huyu binti nilimpa kloro amfikishie na hazijafika sasa ananidai mimi bado na ni co-worker wangu nashangaa kunianika hapa na tunaweza maliza kazini.halafu ndo wanaongoza kwa deni hawa,,kumbe ndo maana anajifanya kunipa maneno matamu ili nimsaidie kulipa,am glad nimegundua mapema.
Nitonye kaenda tena kwenye dharura, hata sijaagwa mwaya. Dalili za mapenzi kuchuja hizi lol..
Wewe tena swt wifi?!.. Sithubutu asilani...
Teh ngoja nimwambie Kabakabana aniforwadie kwenye PM ili wadaku wadiidake....utaipenda sana....Am flattered! Ila uta copy na ku paste vipi message ya kaby bana.. Mi staki, labda untungie ya kwangu.. Nimekuruhusu hata ku "google" ..lol
yes or it might nat.
Hureeee! mchakato umeisha skredi clozedi hahaha!
hehehe TANMO I choose you kweli nakwambia