samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Mwaka jana kipindi kama hiki mjadala juu ya kikombe cha babu wa samunge ulitawala katika vyombo mbalimbali vya habari na maelfu ya watu kutoka ndani na nje ya nchi walifurika katika kijiji cha Samunge kupata kikombe. Hapa nchini watu wengi maarufu wakiwemo wanasiasa na watendaji wa serikali nao walipata kikombe. Ikiwa takriban mwaka mmoja umepita tangu kikombe cha babu kianze kutolewa tujadili success and failures za kikombe. Je kikombe bado kinapatikana kule samunge!??????