Breaking news Babu wa loliondo amefariki dunia baada ya kupigwa risasi tatu na ndugu wa mgonjwa mmoja! sababu za kumpiga risasis hasijafahamika lakini jamaa anashikiliwa na polisi. Tetesi zinasema ni mambo ya kisiasa!!
JINGA WEWE MWENYEWE NA HUNA MAADILI,HAIWEZEKANI UZUNGUMZIE UHAI WA MTU ETI KWA SABABU NI SIKU YA WAJINGA??MAISHA YA MTU UNALETE UTANI WA UJINGA KWAYO SASA WEWE NA JK MNATOFAUTIANA NINI MAANA NA YEYE KWENYE MAMBO YA MAISHA YA WATZ ANACHEKA NA KUINGIZA MASHAIRI YA TAARABU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.