chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Poleni Antipas na Christina!
Sala hii haipo katika kitabu cho chote cha dini ninazozifahamu!MUNGU amlaze mahala sahihi,motoni au peponi kulingana na alivyo ishi hapa duniani.
Huna haja ya kumfundisha Mungu mahali pa kumlaza marehemu, Yeye anajua hivyo wewe kaa kimya wajibu wako ni kumfariji tu mfiwa basi!
Sala hii haipo katika kitabu cho chote cha dini ninazozifahamu!
Inawezekana sala hii ni ya ile dini ya mashetani niliyowahi kusikia imeanzishwa Kenya na kupigwa marufuku baada ya kusababisha maafa! Mungu apishie mbali isije ikaibukia hapa Tanzania.
Mungu mwenye huruma na neema,ampokee ketika ufalme wake na ampe pumziko la milele mbinguni. Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani. Amina. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana alitoa na bwana ametwaa. Jina la bwana libarikiwe. Amina.
Mungu mwenye huruma na neema,ampokee ketika ufalme wake na ampe pumziko la milele mbinguni. Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani. Amina. Sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi. Bwana alitoa na bwana ametwaa. Jina la bwana libarikiwe. Amina.