Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu

Acha hizo moniccca, kwa inshu ya mawifi ni vyema mme adili nao, kuwa warudi makwao
Ujue husband hao mawifi kama kweli wameshaanza tabia ya kusema wapikiwe hichi, hichi hawataki wameshaona hapo ni pa starehe, wanaweza wakang'ang'ania hapo kwa kutoa visababu vya ajabu, na hata huyo mumewe kusema adili nao sometimes unaona soo kumwambia mtu arudi kwao. Ni sheedah
 
Povu la nini sasa? Si umekuja kuomba ushauri,unadhani kila mtu atasapoti ulichofanya? Kama unadhani una majibu,ulikuja kuomba ushauri wa nini?
wasi wasi wako tuu,ongea ila uwe na mipaka,sijasema lazima wewe utoe kama huwezi kuongea,na sijataka wani sapoti nimekuja kutaka ushauri na wapo waloshauri kwa hekma na wanaendelea kunishauri,ushauri wako unaweza kuka nao Ahsante..
 
Ujue husband hao mawifi kama kweli wameshaanza tabia ya kusema wapikiwe hichi, hichi hawataki wameshaona hapo ni pa starehe, wanaweza wakang'ang'ania hapo kwa kutoa visababu vya ajabu, na hata huyo mumewe kusema adili nao sometimes unaona soo kumwambia mtu arudi kwao. Ni sheedah
Pia ukibadili vyakula kumbuka na wanao watakula hivyo hivyo huwezi kuwa double std ujue
 
Katika tamaduni zetu za kiafrika unapopata wageni kuna mambo yanapaswa kuyazuia mkiwa kama wanandoa kama hilo la ku kiss na ku hug hata kama ni kwako ila msionyeshe waziwazi fanyeni chumbani kwenu..msizidishe sana uzungu
 
zamani wazee kama hao tulikuwa tukiwaita "wakoloni"

ila inabidi mtumie busara wewe na mumeo muwe mnaagana chumbani na watoto pia mnaingia chumbani kwao na kuwaaga kwa kiss

kujua tabia ya mtu ni moja ya njia nzuri sana ya kuishi nae siku 15 sio nyingi na kama leo ni siku ya 4 hizo11 zilizobaki pia sio nyingi muonee huruma mzee wa watu kwanza hayupo sawa sababu labda ya huo ugonjwa wake
na kama alikuwa akiumwa kwa muda mrefu kuwa na hali kama hiyo ni kitu cha kawaida kuwa unaona

kama ni mkali au kupanga sheria kwa watu hiyo pia huchangiwa na hali ya kipesa aliyowahi kuwa nayo huko zamani

najua utaona ugumu sana kubadilisha uhuru wako uliojiwekea ila pia kumbuka huyo mzee pia ni mgonjwa chukua hayo matatizo aliyonayo
ni moja ya sababu kuwa na maungufu unayoyaona kwake

muombe na msamaha kama anavyotaka yeye ili kumpunguzia machungu moyoni kwake najua leo huyo mzee alipo mpaka sasa hakuna jambo lilomtawala kichwani kwake kama hilo na hii husababishwa na kuugua kwa muda mrefu au kama mzee alifilisika
Mkuu mkewe ndio mgonjwa sio yeye na pia sio kama anaumwa hawezi kutembea huyo mkewe,anakwenda Mall ana kwenda cinema,hilo sawa tufanye we can kiss chumbani fine,jee wafanyakazi wangu pia niwalishe anavyotaka yeye na walinzi wangu yeye ndio aamue kama wakale makwao hawakuja kula pale kwangu walikuja kufanya kazi? huyu mzee ni shidaaa
ila nimemwambia hubby we meet somewhere tuonge manake i feel its too much...
 
Katika tamaduni zetu za kiafrika unapopata wageni kuna mambo yanapaswa kuyazuia mkiwa kama wanandoa kama hilo la ku kiss na ku hug hata kama ni kwako ila msionyeshe waziwazi fanyeni chumbani kwenu..msizidishe sana uzungu
Sawa mkuu na wafanyakazi wangu na walinzi yeye kasema anataka awanyooshe manake nawadekeza nayo tusiseme pia afanye anachotaka?
 
Anaona mnapoteza na mwisho wa siku hatapata pesa nyingi toka kwenu, pia nanyi msiweke kila kitu wazi kwani mmeshaelewa hapendi.
Nimemkoma mie huyu babu,na alikereka nadhani pale Dada wa kazi alipokuja kumuaga Hubby kua anaanza likizo,ndio bwana yule akatoa hela akampa mfanyakazi wetu na nawapenda sababu wanaishi na sie vizuri na hata akiwa likizo hua wanarejea mapema they miss home wanafnya kazi wetu wengine tunakua nao mpaka wanaolewa na harusi tunawafanyia
sasa huyu babu anatuletea changes zake..
 
wasi wasi wako tuu,ongea ila uwe na mipaka,sijasema lazima wewe utoe kama huwezi kuongea,na sijataka wani sapoti nimekuja kutaka ushauri na wapo waloshauri kwa hekma na wanaendelea kunishauri,ushauri wako unaweza kuka nao Ahsante..
My dear..from the way ulivyojielezea, wewe ni self-righteous person...u are too defensive, u can find faults in everyone except yourself. Be humble, it won't cost you anything but it maintains a good reputation...nyumba yako,ndio..sheria zako,ndio..but jaribu kuendana na mazingira na wakati...mi nakwambia,learn to be a queen and a servant...wanaokushabikia kwamba ujifanye kichwa ngumu,muoneshee dharau mkweo,wanakupotosha...love and respect your in-laws, not because they deserve your respect or attention, do it kwa sababu unajijua wewe ni nani...
Wanawake wengi wa siku hizi hasa wasomi, hampendi kujishusha wala kukosolewa...lakini inawakosti ndoa zenu wenyewe..
 
Nimemkoma mie huyu babu,na alikereka nadhani pale Dada wa kazi alipokuja kumuaga Hubby kua anaanza likizo,ndio bwana yule akatoa hela akampa mfanyakazi wetu na nawapenda sababu wanaishi na sie vizuri na hata akiwa likizo hua wanarejea mapema they miss home wanafnya kazi wetu wengine tunakua nao mpaka wanaolewa na harusi tunawafanyia
sasa huyu babu anatuletea changes zake..
Wanao wakubwa kwani!
 
Mkuu mkewe ndio mgonjwa sio yeye na pia sio kama anaumwa hawezi kutembea huyo mkewe,anakwenda Mall ana kwenda cinema,hilo sawa tufanye we can kiss chumbani fine,jee wafanyakazi wangu pia niwalishe anavyotaka yeye na walinzi wangu yeye ndio aamue kama wakale makwao hawakuja kula pale kwangu walikuja kufanya kazi? huyu mzee ni shidaaa
ila nimemwambia hubby we meet somewhere tuonge manake i feel its too much...
hilo la wafanyakazi kwa hapo hayupo sahihi huyo mzee kwa kifupi anaoneshà ni mtu mwenye roho ya kwa nini
ila kiufupi ni kupambana na tabia ya huyo mzee kwa hizo siku zilizobaki
 
Pia ukibadili vyakula kumbuka na wanao watakula hivyo hivyo huwezi kuwa double std ujue
Sio unabadili, bali una stick na ratiba yako kama ambavyo umejipangia wewe home kwako , kwa mujibu wa maelezo ya dada ni kuwa hao mawifi wanataka housemaid wawapikie chakula wakitakacho wao, kwa madai kuwa hawataki kula mchemsho kama wako hospital vile, dawa ni kuendelea na hiyo michemsho wasiyoitaka ili wawe bored waondoke , ukiendelea kujidai kuwa wewe ni chef mashuhuri Africa mashariki na kati hawang'oki hata kwa dawa.
 
Sawa mkuu na wafanyakazi wangu na walinzi yeye kasema anataka awanyooshe manake nawadekeza nayo tusiseme pia afanye anachotaka?
Hao walinzi na wafanyakazi anataka awanyoshe kwa kosa lipi? au kwa vitu gani ambavyo yeye anadai havipo sahihi? Wana tatizo gani? Kama hana sababu yoyote ya msingi mpuuzeni kwa kuwaambia wafanyakazi wenu wasitilie maanani kauli zake wala kufata ayasemayo kama ni kinyume na yale ambayo nyinyi mnataka wao wafanye.
 
My dear..from the way ulivyojielezea, wewe ni self-righteous person...u are too defensive, u can find faults in everyone except yourself. Be humble, it won't cost you anything but it maintains a good reputation...nyumba yako,ndio..sheria zako,ndio..but jaribu kuendana na mazingira na wakati...mi nakwambia,learn to be a queen and a servant...wanaokushabikia kwamba ujifanye kichwa ngumu,muoneshee dharau mkweo,wanakupotosha...love and respect your in-laws, not because they deserve your respect or attention, do it kwa sababu unajijua wewe ni nani...
Wanawake wengi wa siku hizi hasa wasomi, hampendi kujishusha wala kukosolewa...lakini inawakosti ndoa zenu wenyewe..
utakavyoona shosti...
 
Habari za Leo Waungwana!

Nyumbani kwetu tumejiwa na mgeni ambae ni Baba mdogo wa mume wangu. Atakuwa kwetu kama 15 days. Amekuja medical na mkewe na watoto wa3. Tangu wamekuja leo ni siku ya 4.

Cha kushangaza leo asubuhi wakati watoto wanakwenda school wamekuja kutuaga which is normal. Huwa wanatukumbatia then wanaondoka na sisi pia me and my Hubby we Kiss and hug kila mtu anaingia kwenye gari yake safari ya kazini inaanza.

Huyu Mzee kuona leo namuhug mume wangu ili niingie kwenye gari katoka ndani mbio kamuita Hubby. Sasa sikuweza kuondoka ikabidi nisiingie kwenye gari nimsalimie, hakutaka hata kujibu salamu. Anagomba anamwambia my Hubby malezi gani haya unayolea watoto wako na mkeo? Hamuoni aibu mnakumbatiana, mambo ya kufanya chumbani mnafanya hapa, tabia gani hii mnatuonyesha nini?

Tangu nimeingia hapa naona tuu asubuhi mwaaaaaaaaaa! jioni mwaaaaaaaaaaa! Kama hamtaki wageni nyumbani kwenu semeni bwana msitunyanyase. Mimi sikuwa na la kusema nilirudi tena nikajikuta namhug tena my hubby nikamwambia siku njema tutaongea baadae.

Mzee kasema nataka kuongea na wewe mama mwenye nyumba jioni.

Ikumbukwe huyu baba ana wanawe na hawaongei wapo mji huu niliko mimi, watoto wake wa kike 38 na mwengine 41 na 28 ndio alokuja nao. Wote wa kike hawajaolewa kwa midomo yao. Wako kwangu lakini wanamwambia dada apike wanachotaka wao, wao hawawezi kula chakula cha kuchemsha kama wako Hospital.

Sasa najiuliza huyu mzee anataka nimjibu nini? Nimehisi nimnyamazie wakati anaongea sababu its just a matter of 11days anaondoka zake au atahisi nikinyamaza ntakua nimemdharau?

Waungwana naomba busara zenu as sio kama namchukia ila sipendi mtu anipangie sheria nyumbani kwangu. Ingekua nimevua nguo sawa lakini it was just a normal hug and kiss to my hubby na hata akiwepo nani tumeshazowea
kokote kule hata tuwe tumegombana as long as mmoja wetu ametoka akirudi Kiss and Hug ni must.
Madhara ya tamthilia hayo..! Ndiyo maana nimeamua nikamuoe demu wangu wa tangu primary hizi mambo za kipuuzi hana.
 
Hapo ndipo busara yako kama mwanamke inatakiwa. Ndio upo kwako, ndio sheria ni za nyumba yako...lakini kiafrika baba mdogo ni baba yake mumeo. Tumia hekima tu muishi 15days wala sio nyingi, after all umeshajua tabia zake.
Huyu atakuwa mwarabu
 
Back
Top Bottom