Baadhi ya Wazanzibari Wapinga Muungano wadai kura ya maoni kuhusu Muungano

Kwa nini WADANGANYIKA Mnang'ang'ania muungano?
Na tutauvunja huu muungano, kisha tutawafukuza wadanganyika woote zanzibar.
Asante JK, umetupa nafasi muhimu sana na hatutaitumia vibaya.
FUKUZA WABARA WOTE ZANZIBAR, hatutaki mafisadi huku!

Nani kakwambia tunanang'anga'ni muungano?. tung'ang'anie kuwa na watu wabinafsi kama ninyi!

Haya yatakuwa maajabu sasa.
 
Kwa nini WADANGANYIKA Mnang'ang'ania muungano?
Na tutauvunja huu muungano, kisha tutawafukuza wadanganyika woote zanzibar.
Asante JK, umetupa nafasi muhimu sana na hatutaitumia vibaya.
FUKUZA WABARA WOTE ZANZIBAR, hatutaki mafisadi huku!

Hivi kati ya wabara walio Zanzibar na Wazanzibar walio bara wapi ni wengi ?
 
Kwa nini WADANGANYIKA Mnang'ang'ania muungano?
Na tutauvunja huu muungano, kisha tutawafukuza wadanganyika woote zanzibar.
Asante JK, umetupa nafasi muhimu sana na hatutaitumia vibaya.
FUKUZA WABARA WOTE ZANZIBAR, hatutaki mafisadi huku!

Wakati huo huo itabidi tumuombe Mungu na tuwasihi WADANGANYIKA wasichukue hatua kama hiyo. Naamini kuwa Wazenji wengi Tanganyika (tena wenye rasilimali zao nyingi) kuliko Wadanganyika walioko Zenji.
 
Sidhani kuwa wanang'ang'aniwa na hakuna aliewanyang'anya nchi yao hadi useme wapewe! Wana rais na bunge, kinachowashinda ni kipi kujitangazia uhuru wanaoutaka? Binafsi sioni manufaa ya muungano katika mazingira na dunia ya sasa. Vita baridi imeshaaisha kitambo na strategic position ya Zanzibar kwa Tanganyika si valid kama enzi miaka ya 60 hadi 80. Waende hata leo tuone nani atakaepoteza kwa muungano kuvunjika, watu ambao hata nyanya wananunua Tanganyika???

Hata mimi napendelea tuwe majirani wema tu, tujichukulie vyetu pale k'koo na sehemu nyingine
 
Wazenji wana gubu kweli siwapendi kama nini? Tena mkivunja muungano muondoke haraka kwetu nendeni mkale mapembe huko na kasa, kwa kweli sioni faida ya kuwa nanyi to be honest
 
Ahahahaa!! Hesabu zenu chache sana mliokua na chuki na zanzibar! Wengine bila ya kufikiria eti wanauliza mchele, nyanya vitunguu maji tutavipata wapi? Na mie naomba nijibiwe, hivo vitu vinakuja bure uku visiwani? Kama vinanunuliwa basi tutanunua kama kawaida, au mtagoma kutuuzia? Na bado tutanunua nje hatushindwi!

Wengine hesabu zao za tsunami hazina akili kama wao wenyewe, tsunami ilotokea Sri lanka miaka ileee ilileta effect zanzibar pakawa na mtetemeko wa ardhi wa sekunde chache na kuchafuka kwa bahari na kufanya safari za baharini haswa za pemba kusimamishwa, tsunami ya leo hakuna habari ya lolote ile mpaka sasa ivi, kisha hiyo tsunami mpaka sasa haijaharibu chochote apo indonesia ilipotokea itakuja kuzamisha zanzibar?

Dah, humu jamvini kuna watu wavivu wa kufikiri! Vile vile kuna wengine wanasema kuwa zanzibar itapata hasara, nafikiri mungekuwa mnaijua historia ya zanzibar kabla ya muungano msingesema, zanzibar ilikua inazisaidia nchi za nje kama hamujui, huyo mwarabu oman alikua anasaidiwa na znz!

Wengine wanasema kuwa wapemba wamejaa bara wanafanya biashara kwaiyo wataingia hasara, kasema nani? Hivi china na tz wana muungano?Mbona wachina wamejaa tele Tz wanafanya biashara zao? Kama walivo wachina basi ndivyo wapemba watakavoendelea kufanya biashara zao!


kwa nini msichukue hatua, kama mwarau mlimtoa, m-bara atawashinda. Hakika nakuambia Wabarazaidi ya Asilimia 95% kwa sasa Wanapendelea kila mtu ashike hamsini zake. Na ukitaka hivyo Hakikisha CUF inashinda huko na Bara CCM inatoka, baada ya hapo hakutakuwa Tanzania tena
 
Why dont we let them go! Jk liangalieni hili! Mnaweza kulizuia kwa muda tuu, cant you turnup to be the hero! Mfichaficha maladhi?
 
Du hawaja jitenga tayari wana makundi hatari,wakijitenga tu bookharam na al shaababu yatakuwa waziwazi uko,na hivi sitaki shule ni wengi.
 
wazanzibar kama ni kwa utashi wenu na mnaona muungano hauna maana wala faida kwa sasa ni vizuri kuwepo kwa kura ya maoni ili muamue mnataka muungano au la.Chemkeni
 
Hakika......maana kama wanandoa hawalali kitanda kimoja hata kama talaka haijatolewa ndoa haipo

Ha ha ha ha ha ha! Mkuu mbona unaleta vitu nusu nusu? Ndoa ili ikamilike, pamoja na kulala kitanda kimoja, sharti yafuatayo yafanyike:-

(i) Kwa wawili hao ni lazima tendo la ndoa lifanyike kwa utaratibu stahiki alivyoagiza Mwenyezi Mungu, pili,

(ii) Sharti kila mmoja ARIDHIKE. Hii ni kanuni muhimu na ya msingi katika ukamilifu wa ndoa.

Hivyo, kulala kitanda kimoja peke yake haitoshi, ni lazima niliyoyataja hapo juu yafanyike. Hata kwenye familia zetu nyingi watoto hulala wawili wawili na haimaniishi kuna ndoa hapo.
 
Wakati huo huo itabidi tumuombe Mungu na tuwasihi WADANGANYIKA wasichukue hatua kama hiyo. Naamini kuwa Wazenji wengi Tanganyika (tena wenye rasilimali zao nyingi) kuliko Wadanganyika walioko Zenji.

Exactly! Ili ile kanuni ya msingi ya "ubaguzi" na "kula nyama ya mtu" iwe juu ya vichwa vyao wenyewe. Waendelee kubaguana - Muunguja na Mpemba, Mkojani na Mmakunduchi, waendelee hivyo hivyo hadi mtu na familia yake. Yanafanyika hapo Somalia - koo na koo zinabaguana itashindikana hapo Zanzibar? Yetu macho.

Hako kamuafaka kamewatia ujinga wanadhani makovu ya tangu enzi na enzi yamekwisha; la hasha. Ni suala la muda tu.
 
they were fighting when the man appeared! they turned against him up until he decided he will go. then they remembered their fight.....until the last drop
 
Dah ni hatari; ujue kule znz sa hizi kuna kundi moja linaitwa UAMSHO kundi hili linaongoza mchakato wa kudai Zanzibar huru sasa kama ni kazi basi huko Visiwani ipo haswaaa"

wnatumia haki yao ya uraia. hawana makosa kabisaa. muungano wetu hauna faida kabisaa ila una gharama nyingi sana kuuendesha.
 
Hata mimi napendelea tuwe majirani wema tu, tujichukulie vyetu pale k'koo na sehemu nyingine

Wazenji wanaweza kuondoka huko na hamuwezi kuchukua chochote; hata sindano hamuna uwezo wa kuichukua iwapo wataacha mali zao huko. Hivi wewe una habari kama Zanzibar sasa kuna vikundi vya UHARAMIA na kwa mara ya mwanzo Tutaanza majaribio yetu na Watanganyika, tunasubiri muda ufike tu na hauko mbali INSHAALLAH
 
Mtoto akililia wembe mpe, nafikiri ni sawa na mke, ukimuonesha sana unamthamini anasahau upendo ni tunda la wote wawili. ataanza kudeka na kukutesa, sasa hawa walipofikia ni mahali pa kuwaonesha kuwa hata hii ndoa uwepo wake umekuwa mateso makubwa kwetu, wajitahidi ili wakimwaga mboga, tuukanyage ugali. Kwa kweli Katiba mpya bila kutuondolea tongo hizi itakuwa imetuacha kizani. Tumechoswa na kujishebedua kwao.
 
Waunguja msiwaunge mkono hao waarabu, wa pemba. Chokochoko zote ni kutaka kuwarudisha maseyyid, mtalia na kusaga meno ndugu zetu wapendwa wa unguja. Tunawapenda sana
 
Back
Top Bottom