Baadhi ya Wazanzibari Wapinga Muungano wadai kura ya maoni kuhusu Muungano

Mu-sir

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,621
1,629
Kundi la wananchi wa Zanzibar wamekusanyika leo nje ya ukumbi wa baraza la wawakilishi kudai hoja yao ya kutaka iitishwe kura ya maoni juu ya muungano ijadiliwe na baraza hilo.

Wananchi hao wanadai kabla ya mchakato wa katiba mpya kuendelea wanataka Wazanzibari watoe maoni yao kama wanataka muungano au la.

Source: DW RADIO.
 
Dah ni hatari; ujue kule znz sa hizi kuna kundi moja linaitwa UAMSHO kundi hili linaongoza mchakato wa kudai Zanzibar huru sasa kama ni kazi basi huko Visiwani ipo haswaaa"
 
Wapeni nchi yao kwanini mnawang'ang'ania; Tanganyika bila Zanzibar ilikuwepo na inawezekana!!

Sidhani kuwa wanang'ang'aniwa na hakuna aliewanyang'anya nchi yao hadi useme wapewe! Wana rais na bunge, kinachowashinda ni kipi kujitangazia uhuru wanaoutaka? Binafsi sioni manufaa ya muungano katika mazingira na dunia ya sasa. Vita baridi imeshaaisha kitambo na strategic position ya Zanzibar kwa Tanganyika si valid kama enzi miaka ya 60 hadi 80. Waende hata leo tuone nani atakaepoteza kwa muungano kuvunjika, watu ambao hata nyanya wananunua Tanganyika???
 
Hivi wanajua kuwa kuna Tsunami inakuja?


An earthquake with an magnitude of 8.7 has struck under the sea off Indonesia's northern Aceh province.
The quake triggered a tsunami watch alert across the Indian Ocean region.
The Pacific Tsunami Warning Center (PTWC) said it was not yet known whether a tsunami had been generated, but advised authorities to "take appropriate action".
The region is regularly hit by earthquakes. The Indian Ocean tsunami of 2004 killed 170,000 people in Aceh.
The US Geological Survey (USGS), which documents quakes worldwide, said the Aceh quake was centred 33km (20 miles) under the sea about 495km from Banda Aceh, the provincial capital.
Continue reading the main story"Start Quote

Sirens and Koran recitals from mosques are everywhere"
SutopoIndonesian emergency official

It was initially reported as 8.9 magnitude but was later revised down to 8.7 by the USGS. Strong aftershocks were also reported.
The PTWC alert said quakes of such a magnitude "have the potential to generate a widespread destructive tsunami that can affect coastlines across the entire Indian Ocean basin".
But Bruce Presgrave of the USGS later told the BBC that the nature of this quake made it less likely a tsunami would be generated, as the earth had moved horizontally, rather than vertically, therefore had not displaced large volumes of water.
"We can't rule out the possibility, but horizontal motion is less likely to produce a destructive tsunami," he said.
Sutopo, a spokesman for Indonesia's disaster mitigation agency, said the quake had been felt "very strongly".
"Electricity is down, there's traffic jams to access higher ground. Sirens and Koran recitals from mosques are everywhere," he told Reuters.
'Minute of chaos'The earthquake monitoring agency in Indonesia said the tsunami warning would remain in place for another few hours, but that there had been no reports so far of a low tide, which would indicate the water was receding before building into a tsunami.
_59594758_sumatra_equake_304_2.gif

The tremor was felt as far away as Singapore, Thailand, Sri Lanka and India.
"There was a tremor felt by all of us working in the building," a man called Vincent in Calcutta, India, told the BBC.
"All just ran out of the building and people were asked not to use the elevator. There was a minute of chaos where all started ringing up to their family and asking about their well-being."
The Thai office of disaster management said people along the coasts of Phuket, Phang Na and Andaman province should heed warnings and evacuate.
Tsunami warning sirens, set up in many vulnerable areas after the 2004 disaster, were heard in Phuket, where correspondents said people were calmly following evacuation routes to safe zones.
Indonesia straddles the Pacific Ring of Fire, a zone of major seismic activity.
The BBC's Karishma Vaswani in the Indonesian capital, Jakarta, says there were reports of the ground shaking for up to five minutes. Contact with people in the immediate area around the quake has not been possible so far, says our correspondent.
Are you in the area affected by the earthquake? You can get in touch with the BBC using the form below:

Send your pictures and videos to yourpics@bbc.co.uk or text them to61124 (UK) or +44 7624 800 100 (International). If you have a large file you can upload here.
 
Sidhani kuwa wanang'ang'aniwa na hakuna aliewanyang'anya nchi yao hadi useme wapewe! Wana rais na bunge, kinachowashinda ni kipi kujitangazia uhuru wanaoutaka? Binafsi sioni manufaa ya muungano katika mazingira na dunia ya sasa. Vita baridi imeshaaisha kitambo na strategic position ya Zanzibar kwa Tanganyika si valid kama enzi miaka ya 60 hadi 80. Waende hata leo tuone nani atakaepoteza kwa muungano kuvunjika, watu ambao hata nyanya wananunua Tanganyika???

naaamini hawajui wanalolifanya wakitaka mkaa bara, wakitaka mchele bara, kila kona ya bara wapemba wamejaa wanafanya biashara, hakika watakuja kujuta kama wenzao wa Libya
 
Waishie zao huko watuondolee kiwingu... watu millioni 1 wametoa wajumbe 15 kwenye tume ya katiba... watu millioni 42 wametoa watu 15 kwenye tume??? Huu muungano kiinimacho?? hiyo kura na ije tuuvunjilie mbali tuone nani ataumia.
 
ngoja tsunami ipite ndo 2tajadil,
but its obvious no need of muungano
 
Kundi la wananchi wa Zanzibar wamekusanyika leo nje ya ukumbi wa baraza la wawakilishi kudai hoja yao ya kutaka iitishwe kura ya maoni juu ya muungano ijadiliwe na baraza hilo.
Wananchi hao wanadai kabla ya mchakato wa katiba mpya kuendelea wanataka Wazanzibari watoe maoni yao kama wanataka muungano au la.
Source: DW RADIO.
Haya aliwahi kuyasema Tundu Lissu bungeni akaonekana hawapendi wazanzibari
 
Mimi naona kama wamechelewa. Zanzibar kwetu ni kama upele hivyo wakitoka watatupunguzia adha ya kujikuna. Au wanajukwaa mnasemaje?
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom