Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,793
- 12,238
Tumekwisha kanyaga mavi!
Tulichotakiwa kujadili mwanzo ni kuwepo au kutokuwepo kwa muungano. Kama muungano unapendwa na wananchi basi ndiyo muundo wa muungano ujaliliwe na hatimaye katiba mpya.
Kitakachotokea kwa sasa ni Wazanzibari kuikataa katiba mpya wakiwa na maana ya kupinga kuendelea kuwa katika muungano. Endapo serikali itatumia nguvu kuulinda muungano kutazuka wanaharakati wengi ambao wataipotezea serikali muda mwingi wa kuwahudumia wananchi na badala yake kujibu hoja.
Ni vema serikali ikajiandaa mapema ili endapo Wanzanzibari watakataa katiba mpya, jambo ambalo ni dhahiri, mchakato wa kuvunja muungano uanze mara moja vinginevyo tutakuwa tunakaribisha Al Shabaab na Boko Harama na hivyo kuhatarisha amani na umoja wetu wa Watanganyika.
Tulichotakiwa kujadili mwanzo ni kuwepo au kutokuwepo kwa muungano. Kama muungano unapendwa na wananchi basi ndiyo muundo wa muungano ujaliliwe na hatimaye katiba mpya.
Kitakachotokea kwa sasa ni Wazanzibari kuikataa katiba mpya wakiwa na maana ya kupinga kuendelea kuwa katika muungano. Endapo serikali itatumia nguvu kuulinda muungano kutazuka wanaharakati wengi ambao wataipotezea serikali muda mwingi wa kuwahudumia wananchi na badala yake kujibu hoja.
Ni vema serikali ikajiandaa mapema ili endapo Wanzanzibari watakataa katiba mpya, jambo ambalo ni dhahiri, mchakato wa kuvunja muungano uanze mara moja vinginevyo tutakuwa tunakaribisha Al Shabaab na Boko Harama na hivyo kuhatarisha amani na umoja wetu wa Watanganyika.