Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,343
- 34,048
yeye ndie anaweka vikwazo? yeye ndie alianzisha operation za kina konki? yeye ndie aliyepayuka jukwaani kuwa hasomeshi wenye ujauzito? inamaana usa uk hana wawakilishi huku wanao ona hali inavyo endelea?ndo kilichokuwa kimempeleka membe ulaya,safari zake za nje kimya kimya hazikomi,kweli tamaa ya madaraka ni mbaya sana.