Na zile Latitude na Longtude alizotamka Membe alizitoa wapi? je wajumbe wa hio negotiation team ni akina nani? kama hizo Longitude na Latitude, na mengine aliyoyasema siku hio Membe yalikuwa ni ya Uongo? au Kikwete alikutana na huyo mama wa Malawi akiwa hajajiandaa (was a surprise meeting?).