Fortune Samuel
Member
- Jul 31, 2012
- 14
- 3
Hilolilijulikana tangu mwanzo na inashangaza kuona viuongozi wetu wanawekeza nguvuzote katika UN Convention. Pengine ni ishara kuwa hata hao wanaotuoongozahawajaielewa vizuri hiyo Convention kwani ndio hiyo hiyo inayosema kuwa mpakautapita katikati ya water body kama hakuna any recognised agreement na ni kwelikuwa katika sakata hili, recognised agreement (kwa Tanzania na Malawi) niAnglo-Germany treaty. Kinsingi ukisoma kwa umakini hata ile article yakisomi yaJames Mayall, ambayo mmoja wetu alikipost hapa JF, utapata weaknesses nyingikatika hoja yetu. Isitoshe, kusema kuwa Tanzania haiwezi kufungwa na mikatabawalioingia wakoloni nayo haingii akilini kwani mipaka tunayoitambua sisi nanchi nyingine zote (Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia) ni ile ileilitotokana na Wakoloni.
Nikiwammoja wa Watanzania ambao wasingeweza kufika Chuo Kikuu kama Tanzaniaisingekuwa na haki ya kutumia maji ya Ziwa Nyasa, ningependa niwasihi viongoziwetu kuwa wakazanie haki hiyo tuendelee kuipata na ikibidi tuingie makubarianomapya ya jinsi Watanzania tunavyoweza kunufaika zaidi na Ziwa Nyasa ambalo mawimbiyake hugusa nchi yetu. Naamini watatuelewa kwani Wamalawi wanategemea sanabandari yetu kupata mahitaji yao yote. Isitoshe, kitendo cha mawimbi ya ziwalile kugusa nchi yetu kinatosha kutujengea msingi wa kujadili mkataba mzuri wa jinsiWatanzania tunavyoweza kunufaika zaidi na maji na rasilimali za Ziwa Nyasa.
Niborakwenda katika meza ya majadirinao tukiwa na hoja mbadala ili wakati tukiwa nauhakika wa kutofanikiwa katika hoja na mpaka, ni bora tukajikita katikakujadili mkataba bora zaidi ya jinsi tunavyoweza kunufaika na rasilimali zaziwa lile. Kumsema Mtanzania mwenzio eti ni Mmalawi kwasababu amesema ukweli ambaowewe binafasi usingependa uusikie, ni kupungukiwa na hoja. Mungu ibariki Afrika!Mungu ibariki Tanzania!
Nikiwammoja wa Watanzania ambao wasingeweza kufika Chuo Kikuu kama Tanzaniaisingekuwa na haki ya kutumia maji ya Ziwa Nyasa, ningependa niwasihi viongoziwetu kuwa wakazanie haki hiyo tuendelee kuipata na ikibidi tuingie makubarianomapya ya jinsi Watanzania tunavyoweza kunufaika zaidi na Ziwa Nyasa ambalo mawimbiyake hugusa nchi yetu. Naamini watatuelewa kwani Wamalawi wanategemea sanabandari yetu kupata mahitaji yao yote. Isitoshe, kitendo cha mawimbi ya ziwalile kugusa nchi yetu kinatosha kutujengea msingi wa kujadili mkataba mzuri wa jinsiWatanzania tunavyoweza kunufaika zaidi na maji na rasilimali za Ziwa Nyasa.
Niborakwenda katika meza ya majadirinao tukiwa na hoja mbadala ili wakati tukiwa nauhakika wa kutofanikiwa katika hoja na mpaka, ni bora tukajikita katikakujadili mkataba bora zaidi ya jinsi tunavyoweza kunufaika na rasilimali zaziwa lile. Kumsema Mtanzania mwenzio eti ni Mmalawi kwasababu amesema ukweli ambaowewe binafasi usingependa uusikie, ni kupungukiwa na hoja. Mungu ibariki Afrika!Mungu ibariki Tanzania!