Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,199
- 6,646
Katumia sanaa vyema
Yaani wataibuka kumi zaidi. Walimkamata Padre Slaa. Wakaibuka Maaskofu na Waraka.Huyo mwenye bendera wataanza naye.
Hii itaanza kuwatafuna hao watoto walioshika mabangoHumo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.
Nice songBaada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".
Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.
Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.
2025Joka la kijani... kichwa Kiko bandarini.... mkia uko magogoni!!!
Sijui tunaanzaje kuliua hili Joka!!!?
Waimba amapiano na singeliHuenda kuna kizazi kipya cha wasanii wenye akili kinakuja baada ya kile cha wenye kujikomba kwa watawala.
Huyo kwenye picha ni wewe mkuu!? Duh!.... kama ni id yako.....aisee id imekula chumvi...
Kimeanza kuonekana Kwa mbali. Na hii ni 2023 mpaka 2025 tutakuwa na nyingi zinazohamasisha Uzalendo badala ya ngono zembe.Huenda kuna kizazi kipya cha wasanii wenye akili kinakuja baada ya kile cha wenye kujikomba kwa watawala.
18Huyo kwenye picha ni wewe mkuu!? Duh!.... kama ni id yako.....aisee id imekula chumvi...
nimedanlodi gugoHuyo kwenye picha ni wewe mkuu!? Duh!.... kama ni id yako.....aisee id imekula chumvi...