Baada ya wimbo wa "Wanatuona Manyani" kufungiwa, mwingine ajitoa muhanga na "Joka la Kijani"

Papasa

JF-Expert Member
Nov 2, 2018
1,956
4,164
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Huyu jamaa ananikumbusha Miaka ile ya Justine Kalikawe dah Mambo ya 'panapovuka moshi'
 
Joka la kijani... kichwa Kiko bandarini.... mkia uko magogoni!!!

Sijui tunaanzaje kuliua hili Joka!!!?
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    9.3 KB · Views: 1
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

My country people.
 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Poli ccm kazi wanayo.
 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Asnte mungu, mwamko umeanza
 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Hehehe
 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Huu ni utani wa kisiasa tu. serikali ijikite kwenye mambo ya msingi.

Siasa wawaachie Chadema na Ccm
 
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".

Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.

Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.

Wimbo haujataja mtu
Sasa tuone watakavyojishtukia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom