Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 1,956
- 4,164
Baada ya wimbo wakuitwa "Wanatuona Manyani" kufungiwa na mwimbaji kuwekwa ndani, sasa kuna msanii mwingine anaeitwa Chief Son kajitoa muhanga na wimbo wakuitwa "Joka la Kijani".
Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.
Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.
Humo ndani msanii Chief Son anasema namnukuu kwa uchache, Tanzania sio maskini tatizo ni joka la kijani. Joka la kijani linazidi kutuvutia shimoni, joka la kijani linazidi kututia umaskini, joka la kijani tunapaswa kulitoa madarakani.
Zaidi unaweza kutazama wimbo huo hapo chini.