Decisive
Member
- Aug 3, 2023
- 45
- 92
Habari wana JF
Wadau, ni baada ya mda gani mtumishi wa serikali anaweza kukopa mkopo kwenye Bank kama NMB na CRDB.
Na kiwango cha mkopo kinaweza kufika 30 M kwa mshara wa 1.2M kwa mwezi?
Tafadhali nisingependa ushauri wa kwamba nisikope sababu najua ninacho target.
Wadau, ni baada ya mda gani mtumishi wa serikali anaweza kukopa mkopo kwenye Bank kama NMB na CRDB.
Na kiwango cha mkopo kinaweza kufika 30 M kwa mshara wa 1.2M kwa mwezi?
Tafadhali nisingependa ushauri wa kwamba nisikope sababu najua ninacho target.