Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

Natumaini umepewa za kutosha keep cool dude wewe upendi nchi yako sijui were no mkenya


Swissme
 
Ha...ha...ha nimefulahishwa na mchangiaji aliyesema ni zamu ya raisi mwisilamu kweli Tanzaninia ni nchi nzuri na raia wake wanapendana sana, tatizo kidogo lipo kwa viongozi wetu tunaowachagua kwa kuwapigia kura, wakati mwingine wanashawishika kufanya mambo yanayo waumiza wananchi. Nchi hii raia tunaunganishwa na siasa, dini, michezo, ujirani, kabila, kuoleana, makazi, shule, urafiki, mapenzi, kazi, nyendo, ushirika na mengine mengi, naomba tudumishe upendo huu. Sisi ni wamoja watoto tulioumbwa na Mungu mmoja. Tuulinde upendo huu. Mi bado mgeni humu nawapenda wote.
 
45g__E6ogzo.jpg
Meaning?
 
Tanzania tunagawana urais kwa Dini.

Sasa ni zamu ya MPAGANI ,kama tukikosa tumpe FREE MASON.

Nasema hivyo maana waislamu na wakristo tu ndio wameongoza ila WALOKOLE WA ASSEMBLIES OF GOD,Wasabato,Baptist,Hawajawahi ongoza ama hata kanisa la kristo.

Tukitoka hapo tunakuja BUdha,Hindu,Ahmadiya.

Then Tu akuja singasinga
 
Nimekuelewa mtani wangu, ndicho hua nakisema hapa kila siku,unakumbuka mwaka ule tulipokuwa na mkutano pale Diamond Jubilee? kama ulikuwepo lengo la kikao kile kilikuwa kuandaa jukwaa la kudai katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa vyama vingi, na pia kuomba serikali ya mpito kuelekea katika mfumo wa vyama vingi wakati tunaandikia katiba mpya na ndipo NCCR ikaanzishwa. Lakini jamaa tuliowaamini wakaibadilisha NCCR kutoka jukwaa la kudai katiba mpya mpaka chama cha siasa. Hapo ndiyo hasira yangu inapokuja kwa hawa wapinzani maana walichokifanya ni kukimbilia Ikulu. Waliponikatisha tamaa NCCR nikaanza kuwa mfuasi wa Mtikilia nikiamini kama ataungwa mkono na wanasiasa wenzake wa upinzani katika kesi alizozifungua za kikatiba. Lakini leo siamini macho yangu hawa wapinzani wanaposema wameibiwa kura najiuliza nani kawaibia? Tangu lini Tanzania iliachana na chama kimoja? hawakujua kama katiba iliyopo ilikua ya chama kimoja na hivyo tume ya uchaguzi haiwezekani kuwa huru??? Hapa JF nilitegemea kua kuna ma GT kama tunavyotaka kuaminishwa lakini naona kuna wengi ama ni mbumbumbu kwa maana hawajui mageuzi yalianzaje ama vichwani ni weupe kwa maana hawatumii akili zao walizopewa na Mungu.

Watu kama kina Sumaye, Lowasa, Ulimwengu, Kingunge, Seif, Duni hawa wote ni mazao ya chuo cha siasa kivukoni. Hiki chuo kazi yake moja ilikua kuwaandaa makada wa CCM, Leo hii hawa makada ndiyo wanaitwa makamanda wa UKAWA. Hawa makada wa CCM wanasema tumerudi nyuma miaka 50, halafu hatuwaulizi nani ameturudisha huko nyuma na walikua wapi kuona hizo juhudi za kuturudisha nyuma??

Vijana wa kizazi kipya ndiyo kina Sugu, Nape, Lissu, Zitto, Kibajaji, na wengine wengi je Mayalla unaona kama kuna yeyote hapo ana hata 50% ya uwezo wa Mapalala ama Fundikira walioshindana na mtu muelevu kuliko hawa tulionao leo Mwl Nyerere?? Hawa vijana wamejawa na unafiki na mambo yale yale yaliyotufikisha hapa tulipo ya ZIDUMU FIKRA AMA ZA MAGUFULI, SEIF, LIPUMBA AU MBOWE. Safari ni ndefu sana kama wananchi tuna akili hizi ninazozisoma humu JF. Nilijiunga kwa mara ya kwanza na JF ilipoanzishwa lakini nikachana nayo maana majadiliano yetu huwa partisan zaidi badala ya kuwa bipartisan.
Mkuu Mbase, nimeguswa sana na michango yako, haswa kwa objectivity yako kutanguliza mbele maslahi ya taifa na sio maslahi ya vyama.
By neno bipartisan unamaanisha nini? .

Thanks

Paskali
 
Huyo kateuliwa ki ndugu bwana mayala hata ww ungekuwa umejipendekeza kwa ndugu yako sasa hivi nafasi ya nape ingekuwa yako, lakini kumbuka swali ulilomuuliza kipindi kile mbona hakulijibu, elewa kwa kuna watu wapo bara kabisa kiuongozi lakini hawapo kwenye system lakini hata ww ukipewa hiyo fursa kila mtu atasema wasukuma mnavipaji kumbe hakuna lolote sehemu nzuri ya jujipima uongozi wako uko VP ruhusu siasa za ushindani! Nakuambia mayala waruhusu ushindani wa siasa mwezi mmoja kwa mwaka uone, swala jingine umeona Arusha mbunge wsmemuweka ndani miezi minne wakati wao wskiugawana mkoa Arusha hadi wamegawa pikipiki lakini wakisema lema ahutubie mkutano Arusha yote itakuwa mafuriko, ss huyo ndugu yako nashukuru bro kam boots ili aweke jina!
 
Akitaka aende jimbo la Arusha akaone cha moto, msukuma kawakosea nn ndo maana wanasema ccm kukosoana ni shida au ukiwa na mawazo hasi ni taabu, kwa msukuma kwa kura za wananchi msukuma lazima ashinde ila Kwa kura za majungu atashindwa, yaani kura za uteuzi(kura za majungu).
 
muhusika was kwanza hapo juu anasadifu yanayo tokea Leo kwetu,na kama unamuona na muhusika was Pili yupo sahihi,ni sawa.ila pasco mayalla wewe heshima yako ni kubwa sana hapa jf.
 
Mkuu Mbase, nimeguswa sana na michango yako, haswa kwa objectivity yako kutanguliza mbele maslahi ya taifa na sio maslahi ya vyama.
By neno bipartisan unamaanisha nini? .

Thanks

Paskali
Partisan ni kama hawa wanaoitana nyumbu na book saba, hili ni kundi ambalo linajadili maswali ki itikadi zaidi hata kama hayana maslahi kwa Taifa, Sera za bipartisan ni pale watu wanapoondoa uchama na kuchangia kwa maslahi ya Taifa. nadhani nimeeleweka hapo mkuu Mayalla Maana rahisi kabisa ni kuungana ama kukubaliana katika sera kwa vyama ambavyo hutofautiana kisera. Mfano CHADEMA walikuja na sera za kupinga ufisadi kabla ya uchaguzi mkuu hivyo sera kama hii CCM walitakiwa kukubaliana na CHADEMA hii ndiyo bipartisan.. nadhani nimeeleweka mkuu Paskal
 
ni uthubutu wa hali ya juu kung'ang'ania jina na cheti cha mtu mwingine na kuvifanya ni mali yako.ni wachache sana wenye huu ujasiri katika ufalme huu.
 
Nyie mnataka tuwe na taifa la wajinga na wafogi vyeti. Kama aliweza kuhujumu elimu kwanini ashindwe kuhujumu uchumi
 
Pamoja na yote yanayosemwa kumhusu mtu huyu, bandiko hili bado linasimama.
Paskali
 
Back
Top Bottom