Baada ya kutunukiwa PhD na kuwa Dkt. mnaonaje jina la "Mama" sasa tukaachana nalo ila Nyumbani wanaweza kuendelea kumuita Mama?

Kiukweli vilaza kama wewe Sokwe, nyinyi ndio mnaofanya jf wote tuonekane hatuna maana!. Kwa akili yako fupi, umeona hili ni bandiko la uchawa ili kuusaka u DC?!.
Pole!. Soma tena huku umetulia, ukijiona huuelewi, nenda mabandiko mengine, usiparamie kila bandiko mengine yamekuzidi kimo cha urefu wa akili yako fupi!. Kwa kukusaidia tuu, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Kwa wengine, naombeni mnisamehe bure, nachoka kuyajibu haya majitu majinga yanayodhani mimi naandika kuusaka U DC!
P
Haha naona mtoto wa maghorofani
Leo ume attack back,

Ova
 
Unapatana na nani kwenye mambo ya kipuuzi hivi?
Title ya mtu sio jambo la kipuuzi!. Humu kwenye bandiko hili nimezungumzia vitu vitatu, metaphyscs, numerology na chanting!. Kama hujui lolote kuhusu hayo matatu na uhusiano na jina, then bandiko hili sio saizi yako!. We jipitie tuu, nenda kwenye mabandiko ya saizi yako.
P
 
Wanabodi,

Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.

Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila mwanamke kuitwa mama ni heshima kubwa zaidi kwa mwanamke yoyote kuliko kuitwa tuu jina lake, hivyo Tanzania tulipobahatika kupata rais wa kwanza mwanamke, aliyepatikana kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, tunamuita kwa utangulizi wa jina Mama.

Sasa kwa vile amekuwa daktari, mnaonaje sasa kama officially, tutaachana na kumuita Mama, na badala yake, officially aitwe Dr, halafu ofisini kwake na nyumbani kwake, ndio aendelee kuitwa Mama?.

Lengo la kutoa pendekezo hili, ni kufuatia zile mada zangu za powers, majina yana impact kubwa kwa mhusika, hivyo kuna mambo ya metaphysical, na numerology yanayohusiana na majina na matamshi, kwenye words vibrations, kuna maneno fulani ukitamka, hayo maneno yanatoa powerful vibrations kama kwenye kitu kinachoitwa chanting kwenye dini, Hinduism na Budhism ndio wanatumia sana, ila hata Wakristu kwenye Rozari na Waislamu kwenye Tasbihi, wanatumia chanting.

Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".

Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.

Maadam sasa huyu ni dakitari, mnaonaje sasa tukaachana kuitana mama kwenye mambo ya kazkaz halafu akaendelea kuitwa mama na watu wake wa karibu, ofisini na nyumbani kwake, lakini sisi tumuite Dr, ili hata ikibidi kumkoma nyani giladi, unamkoma tuu bila kumuangalia usoni!.

Mnalionaje hili wanabodi, jee tuendelee kumuita mama na yeye kutuita wanangu, hilo mkaliangalie, au sasa tumuite Dr, mambo ya huruma za ki mama mama aziache nyumbani na kwenye familia yake, hapa iwe kazi kazi tuu!.

NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta mada humu bila kutaja majina, hata mada hii Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Jumapili Njema.
Paskali
Hata majumbani Mama huwa haogopewi sana kama anavyoogopewa Baba yanapotokea makosa mtu kafanya !! Ndio maana hata akina Mama huwaogopesha watoto wao watukutu kwamba ntakusemea kwa Baba yako. !! Jina la mama kwa watoto wake na wote walioko chini yake huwa ni la mtu mwenye huruma ambaye hawezi kuwaadhibu hata wakifanya makosa makubwa, wanaamini watanyenyekea na kuomba msamaha basi yatakuwa yameisha ! Kwahiyo itakuwa Business as usual !! Naunga mkono hoja Dokta itapendeza zaidi kuliko Mama !!
 
Soma hii
20221203_131032.jpg


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
What's in a name...In Africa wonders never cease!

His Excellency, President for Life, Field Marshal, Al Hadji, Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.

Her Excellency, Chief, Mama, Rais, Doctor...
Mkuu Mag3 , umenikumbusha ma life presidents wengine wawili, His Excellency the Life President's of Malawi, Ngwazi DR. Hastings Kamuzu Banda of Malawi, and His Excellency Life President, Dr. Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga of Zaire.
P
 
Wanabodi,

Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.

Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila mwanamke kuitwa mama ni heshima kubwa zaidi kwa mwanamke yoyote kuliko kuitwa tuu jina lake, hivyo Tanzania tulipobahatika kupata rais wa kwanza mwanamke, aliyepatikana kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, tunamuita kwa utangulizi wa jina Mama.

Sasa kwa vile amekuwa daktari, kwanza nashauri tuupuuze huu ushauri wa Prof. Kironde alioutoa hapa,
View attachment 2437193
kwasabubu kwa Dr. Jakaya Kikwete ulipuuzwa, kwa Dr. Reginald Mengi ulipuuzwa, kwa nini na kwa Mama usipuuzwe?.

Nashauri kuanzia sasa huyu Mama officially, tuachane na utangulizi wa kumuita Mama, na badala yake, sasa officially aitwe Dr, ila ofisini kwake na nyumbani kwake, na kwa watu wake wa karibu, ndio aendelee kuitwa Mama?.

Lengo la kutoa pendekezo hili, ni kufuatia zile mada zangu za powers, majina yana impact kubwa kwa mhusika, hivyo kuna mambo ya metaphysical, na numerology yanayohusiana na majina na matamshi, kwenye words vibrations, kuna maneno fulani ukitamka, hayo maneno yanatoa powerful vibrations kama kwenye kitu kinachoitwa chanting kwenye dini, Hinduism na Budhism ndio wanatumia sana, ila hata Wakristu kwenye Rozari na Waislamu kwenye Tasbihi, wanatumia chanting.

Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".

Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.

Maadam sasa huyu ni dakitari, mnaonaje sasa tukaachana kuitana mama kwenye mambo ya kazkaz halafu akaendelea kuitwa mama na watu wake wa karibu, ofisini na nyumbani kwake, lakini sisi tumuite Dr, ili hata ikibidi kumkoma nyani giladi, unamkoma tuu bila kumuangalia usoni!.

Mnalionaje hili wanabodi, jee tuendelee kumuita mama na yeye kutuita wanangu, hilo mkaliangalie, au sasa tumuite Dr, mambo ya huruma za ki mama mama aziache nyumbani na kwenye familia yake, hapa iwe kazi kazi tuu!.

NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta mada humu bila kutaja majina, hata mada hii Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Jumapili Njema.
Paskali
Wanaangalia namna yakumuongezea mshahara
 
Inasikitisha sana Waafrika tunavyopeleka mambo yetu.
Yaani hii nchi kama haujui na ukapewa Safu ya uongozi unaweza kutamani kuja kuona maufanisi na mautaalamu yalivyotamataki nchini...Embu check line up yetu versus nchi zilizoendelea;
Tanzania
1) Doctor Samia
2) Doctor Tulia
3) Professor Juma

USA
1) Joe Biden 2) Nancy Pelosi 3) John Roberts
UK
1) Edward/ Rishi sunak 2) Lindsay Hoyle 3) Ian Burnett of Maldon

Madaktari na ma professor wao wamewaweka kwenye Taaluma zao wanawasaidia kufanya tafiti na vumbuzi Mbali mbali za kuboresha maisha ya watu wao...sisi tunawapigisha siasa majukwaani...hivi kwa mfano professor Mbarawa ni mtu wa kukagua barabara kweli!? Au kama nchi hatujui kutumia resources chache tulizonazo?
 
Wanabodi,

Angalizo la Bandiko Hili, sijataja jina la mtu yoyote, naomba na wewe usitaje. Hapa nazungumzia title ya mtu kuitwa Mama.

Japo title ya "Mama" ni jina la heshima kwa mwanamke, kila mwanamke kuitwa mama ni heshima kubwa zaidi kwa mwanamke yoyote kuliko kuitwa tuu jina lake, hivyo Tanzania tulipobahatika kupata rais wa kwanza mwanamke, aliyepatikana kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, tunamuita kwa utangulizi wa jina Mama.

Sasa kwa vile amekuwa daktari, kwanza nashauri tuupuuze huu ushauri wa Prof. Kironde alioutoa hapa,
View attachment 2437193
kwasabubu kwa Dr. Jakaya Kikwete ulipuuzwa, kwa Dr. Reginald Mengi ulipuuzwa, kwa nini na kwa Mama usipuuzwe?.

Nashauri kuanzia sasa huyu Mama officially, tuachane na utangulizi wa kumuita Mama, na badala yake, sasa officially aitwe Dr, ila ofisini kwake na nyumbani kwake, na kwa watu wake wa karibu, ndio aendelee kuitwa Mama?.

Lengo la kutoa pendekezo hili, ni kufuatia zile mada zangu za powers, majina yana impact kubwa kwa mhusika, hivyo kuna mambo ya metaphysical, na numerology yanayohusiana na majina na matamshi, kwenye words vibrations, kuna maneno fulani ukitamka, hayo maneno yanatoa powerful vibrations kama kwenye kitu kinachoitwa chanting kwenye dini, Hinduism na Budhism ndio wanatumia sana, ila hata Wakristu kwenye Rozari na Waislamu kwenye Tasbihi, wanatumia chanting.

Jina la Mama likitangulizwa, na kurudiwa rudiwa kunamfanya muhusika kufanya mambo ki mama mama, ki softi softi, kuwa na huruma iliyopitiza hivyo kuna maamuzi magumu atashindwa kabisa kuyatekeleza!. Mfano mtu akiisha itwa mama, ataweza kusaini death warrant?. Wakati wale "jamaa zetu" kuna maamuzi fulani hilazimika kuyachukua, na maamuzi hayo, "ukikosa tuu mara mbili, utatakiwa kuandika maelezo, kwanini umekosa".

Hao jamaa kwenye hizo operesheni maalum za kutokosa mara mbili, kabla hazijatekelezwa lazima mkuu aridhie kwa kuidhinisha kwa maandishi, naniliu zitumike!, sasa mtu akiitwa mama, ataweza kweli kusaini zile nanilii kama za Dodoma, kwenye makazi ya wale naniliu, zitumike?.

Maadam sasa huyu ni dakitari, mnaonaje sasa tukaachana kuitana mama kwenye mambo ya kazkaz halafu akaendelea kuitwa mama na watu wake wa karibu, ofisini na nyumbani kwake, lakini sisi tumuite Dr, ili hata ikibidi kumkoma nyani giladi, unamkoma tuu bila kumuangalia usoni!.

Mnalionaje hili wanabodi, jee tuendelee kumuita mama na yeye kutuita wanangu, hilo mkaliangalie, au sasa tumuite Dr, mambo ya huruma za ki mama mama aziache nyumbani na kwenye familia yake, hapa iwe kazi kazi tuu!.

NB. Hii sio mara yangu ya kwanza kuleta mada humu bila kutaja majina, hata mada hii Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

Jumapili Njema.
Paskali
Rais Samia alipaswa apewe hiyo doctorate ya heshima toka Mzumbe alikosoma shahada ya juu ya utawala. Hapo Mzumbe ndipo walimpika akawa hivyo alivyo. Cha ajabu Rais Samia kaenda kuokota huko doctorate za ajabu mara eti UDSM etc. Ila navyowajua Mzumbe wapo very strict sidhani kama watampatia tena.
 
Hana u genius wowote ni mfuata upepo wa fursa tu.
Mkuu Yoda , ujiniasi ni relativu, unafuata kanuni za relativiti kama lilivyo ganda la mua la jana!.
Wale waliosoma bandiko hili ile 2014 Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli wananielewa na kunikubali.

Na hawa watakao soma bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
mwaka 2025 ndio watanikubali.

Na wapinzani walio soma bandiko hili la mwaka 2018, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! wataanza kunikubali baada ya 2030!.
P.
 
Back
Top Bottom