Baraka F.K
Member
- Aug 28, 2012
- 79
- 26
Mi hapo kwenye lugha ya Malkia tu... "ONE DOLLAR BILLION QUESTION IS"Haya ni mawazo ya mmoja wa wapenzi wa soka
maswali kama haya nimekuwa nikijiuliza pia!!refarii anavuruga mechi na timu inapoteza au inakosa ushindi!mwisho wa siku refarii anafungiwa!!!!...je hii timu iliyo onewa ndo inabaki hivyo hivyo!!