Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Najaribu kujiuliza hivi mchakato wa kupata katiba mpya si lazima utaanza kwa kupata maoni ya watanzania ili kujua kama kweli wanahitaji katiba mpya?
Kama kutatakiwa kupata maoni ya watanzania ni tume gani itasimamia hizo kura za maoni, ninaamini kama tume itakayosimamia kura za maoni itatokana na uteuzi wa baba Ridhiwani kuna uwezekano wa kusikia 95% ya watanzania hawataki katiba mpya. Subirini:drum:
Kama kutatakiwa kupata maoni ya watanzania ni tume gani itasimamia hizo kura za maoni, ninaamini kama tume itakayosimamia kura za maoni itatokana na uteuzi wa baba Ridhiwani kuna uwezekano wa kusikia 95% ya watanzania hawataki katiba mpya. Subirini:drum: