Yaani Wassira ndio msomi mwenye degree 3?!!Mbona mzania wa elimu yake ya degree 3 na upeo wake haviendani?
Inamana hata wewe kwa uelewa wako huo ulio nao unamini kwamba wassira anatosha kuwa raisi wa hii nchi??hata kama angekuwa na PhD?Yaweza asiwe na elimu ya vyeti hiyo sii hoja kama ana elimu halisi kichwani, KWANI JACOB ZUMA ANA ELIMU GANI ? ?
Inamana hata wewe kwa uelewa wako huo ulio nao unamini kwamba wassira anatosha kuwa raisi wa hii nchi??hata kama angekuwa na PhD?
Inamana hata wewe kwa uelewa wako huo ulio nao unamini kwamba wassira anatosha kuwa raisi wa hii nchi??hata kama angekuwa na PhD?
aisKwani imeonyesha hamumjui Wasira kwanza. Pili hata historia yake hamuifahamu . TATU URAISI sio sura Kama ingekuwa hivyo Mugabe asingekuwa RAIS. Kama ilivyokuwa Kwa mkapa ndani alimfahamu mkapa 1995 nawaeleza tena historia kujirudia na WASSIRA hutajwa sana na wakulima na wafanyakazi hasa mikoani zaidi ya mikoa 24 WASSIRA hutajwa ikumbukwe kuwa tunamtafuta mwenyekiti wa Ccm kwanza na pia mgombea wa URAISI 2015. Toleo linalo la WASSIRA wa watanzania litaleta historia yake... Asanteni
aisKwani imeonyesha hamumjui Wasira kwanza. Pili hata historia yake hamuifahamu . TATU URAISI sio sura Kama ingekuwa hivyo Mugabe asingekuwa RAIS. Kama ilivyokuwa Kwa mkapa ndani alimfahamu mkapa 1995 nawaeleza tena historia kujirudia na WASSIRA hutajwa sana na wakulima na wafanyakazi hasa mikoani zaidi ya mikoa 24 WASSIRA hutajwa ikumbukwe kuwa tunamtafuta mwenyekiti wa Ccm kwanza na pia mgombea wa URAISI 2015. Toleo linalo la WASSIRA wa watanzania litaleta historia yake... Asanteni