Mwenyekiti wa kamati ya miundo mbinu amesema wabunge wanatakiwa kushirikiana kwa ajili ya kukwamisha bajeti ya serikali kuu inayotarajiwa kuwasilishwa bungeni mwezi huu.
Alisema kama wabunge watafikia hatua hiyo itakuwa fundisho kwa serikali kwa kuwa imekuwa na kawaida ya kuwadanganya wabunge.
Chanzo: Magezeti ya leo Nipashe, na Mtanzania
Alisema kama wabunge watafikia hatua hiyo itakuwa fundisho kwa serikali kwa kuwa imekuwa na kawaida ya kuwadanganya wabunge.
Chanzo: Magezeti ya leo Nipashe, na Mtanzania