MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Anachokisahau tu ni kwamba Rais aliyemaliza muda wake ni Mafia hasa na karibia 95% ya System ya Kenya Iko Himayani Kwake.
Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.
Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.
Rais Ruto aangalie sana yasiye Kujitokeza yale ya tarehe 17 Machi, 2021 kwa Majirani zake.
Anaanza kunipa Wasiwasi mkubwa.