Imeandikwa wapi au nani alisema watu wale mbuzi lakini mbwa wasile?
ina ladha gani?Usile nyama mwanza wala Moshi maana mie yalishanikuta
Hahahaaaaaaaaa...., uuuhahahahahahahahaaaaaa,, aiseee.., u hav made my day..., bia yangu inashuka vizuuuurii saiziii..., w*'s*r* utamfanyaje?? HahahahahahahahahhaaaaaWanyama wengine wana upeo kidogo so si vema kuwala ebu jifikirie umkamate kasuku umbanike au umchukue W*s*r* umdumbukize kwenye maji moto