MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Kama nipesa basi Mji wa wagumu Mkoani Kilimanjaro Unaongoza kwa Mungu Onisha Sasa Hela ilipo(MOSHI).
Polisi Mkoani kilimanjaro inashikilia wauzaji maarufu wa nyama ya mbuzi katika Baa ijulikanayo kama MAKANYAGA mitaa ya SOWETO kwa kukamatwa wakiwa wanatundika nyama ya Mbwa kama sehemu ya nyama ya mbuzi.Tukio hili limetokea jana, huku likivuta umati mkubwa wa watu.
Ni masikitiko kwani hata mie niliyekua mgeni kwa kuoneshwa na wenyeji nilifurahia sana ile nyama ila chakusikitika sana nilikua nahisi kiu sana baada ya kula.Mashaka yangu, je namie ni miongoni mwa waliokula kitoweo cha mbwa?
Inasemekana pia baa hii ni maarufu kwa uchomaji wa Mbuzi na mwaka jana tuu ilipata tuzo ya zawadi ya tshs 1,000,000 toka Safari lager waghamini toka TBL.
Tukio hili linaonekana kuwakera wengi na wote wanasema nashukuru Mungu sijawahi kula pale ila nachoamini mkuki Moyoni
Nikiripoti kutoka hapa eneo la tukio ni wenu mwanaJF HABARI ZA KITAA
Nitarejea.
Moshi sintorudi tena.
Polisi Mkoani kilimanjaro inashikilia wauzaji maarufu wa nyama ya mbuzi katika Baa ijulikanayo kama MAKANYAGA mitaa ya SOWETO kwa kukamatwa wakiwa wanatundika nyama ya Mbwa kama sehemu ya nyama ya mbuzi.Tukio hili limetokea jana, huku likivuta umati mkubwa wa watu.
Ni masikitiko kwani hata mie niliyekua mgeni kwa kuoneshwa na wenyeji nilifurahia sana ile nyama ila chakusikitika sana nilikua nahisi kiu sana baada ya kula.Mashaka yangu, je namie ni miongoni mwa waliokula kitoweo cha mbwa?
Inasemekana pia baa hii ni maarufu kwa uchomaji wa Mbuzi na mwaka jana tuu ilipata tuzo ya zawadi ya tshs 1,000,000 toka Safari lager waghamini toka TBL.
Tukio hili linaonekana kuwakera wengi na wote wanasema nashukuru Mungu sijawahi kula pale ila nachoamini mkuki Moyoni
Nikiripoti kutoka hapa eneo la tukio ni wenu mwanaJF HABARI ZA KITAA
Nitarejea.
Moshi sintorudi tena.