Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
- Thread starter
- #21
wakubwa iyo ba-psm ni wapi ajira ntapata ? nipo kijijin magu kwa sasa !
acha uongo alafu pili,usitegemee kuajiriwa fikiri kujiajiri hapo unakuwa na knowledge ya usambazaji ,masoko na uifadhi kuajriwa ni kutafuta mtaji tu.Ukipata jiajiri.wakubwa iyo ba-psm ni wapi ajira ntapata ? nipo kijijin magu kwa sasa !
Soma kwanza baadae ndo utafute kazi tuliaaa
IYO PSPBT ndo nini?
jela mwezi mmoja kakaa ipycalpse by mpigamsuli ivi makamuzi yupo?ha ha ha ha we jamaa unichekesha.
jela mwezi mmoja kakaa ipycalpse by mpigamsuli ivi makamuzi yupo?
mimi ata sijui nime login nakuta message nimepigwa ban na hii ni ban ya pili kakaKatika pitapita zangu nilimuona mida flani ha ha ha wamekupiga mwezi? Kwani ulifanyaje.
wana jf hii kozi ya procurement nimeichagua pale MUCCOBs na vip suala la ajira naweza pata ajira yenye mshahara mzuri!