BA-PSM ,MUCCOBs

wakubwa iyo ba-psm ni wapi ajira ntapata ? nipo kijijin magu kwa sasa !
 
wakubwa iyo ba-psm ni wapi ajira ntapata ? nipo kijijin magu kwa sasa !
acha uongo alafu pili,usitegemee kuajiriwa fikiri kujiajiri hapo unakuwa na knowledge ya usambazaji ,masoko na uifadhi kuajriwa ni kutafuta mtaji tu.Ukipata jiajiri.
 
IYO PSPBT ndo nini?

ni Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board

kijana inabidi usome kwanza maana hata ukitaka kuwa mwalimu ni lazima GPA yako isome vizuri. Acha kiherehere huwezi kuamka kabla hujalala sawa?
 
Back
Top Bottom