Azma ya Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli yakaribia, akifika Chato kesho tarehe 02.08.2023 huenda itatimia

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,819
18,563
Viongozi wa wilaya wamefika nyumbani kwa familia ya mwendazake kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya Mh. LISSU kufika hapo.

Familia kwa unyenyekevu mkubwa wameridhia kwa masharti ya kupata baraka za Mkuu wa wilaya ya Chato.

Baada ya viongozi kuwasiliana na Mkuu wa wilaya naye ameridhia tukio hill kufanyika.

Kwa hiyo tumejipanga kushiriki TENDO hill kesho asubuhi SAA Nne. Baadaye LISSU ataenda Muganza na BUSERESERE na jioni tena atarudi hapo Chato mjini kumalizia Shughuli.

Wavuvi wote wa ziwani wamechukua Likizo na wamepaki mitumbwi yao pembeni.

Wakulima nao ,wafanyabiashara wote, story ni LISSU na Mbowe. Halo ya hewa ya Wilaya ya Chato ni PiPooooooooooz tupu.

Hata Kama Una njaa hujisikii kula.

Basis kwa sasa ni hayo Chopa ya kamanda wa anga itatatua hapa Kwenye kata ya BUZIKU Kwa mkutano wa kwanza wilayani CHATO na mkoa wa Geita kwa ujumla.
 
Viongozi wa wilaya wamefika nyumbani kwa familia ya mwendazake kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya Mh. LISSU kufika hapo.

Familia kwa unyenyekevu mkubwa wameridhia kwa masharti ya kupata baraka za Mkuu wa wilaya ya Chato.

Baada ya viongozi kuwasiliana na Mkuu wa wilaya naye ameridhia tukio hill kufanyika.

Kwa hiyo tumejipanga kushiriki TENDO hill kesho asubuhi SAA Nne. Baadaye LISSU ataenda Muganza na BUSERESERE na jioni tena atarudi hapo Chato mjini kumalizia Shughuli.

Wavuvi wote wa ziwani wamechukua Likizo na wamepaki mitumbwi yao pembeni.

Wakulima nao ,wafanyabiashara wote, story ni LISSU na Mbowe. Halo ya hewa ya Wilaya ya Chato ni PiPooooooooooz tupu.

Hata Kama Una njaa hujisikii kula.

Basis kwa sasa ni hayo Chopa ya kamanda wa anga itatatua hapa Kwenye kata ya BUZIKU Kwa mkutano wa kwanza wilayani CHATO na mkoa wa Geita kwa ujumla.
CCM wanadhani ni utani

Jimbo la Tanzania ndo linakwenda hivyo.

Majizi yamejazana kusaka teuzi na vyeo.... sisi tumedhamiria kuinyima kura
 
Viongozi wa wilaya wamefika nyumbani kwa familia ya mwendazake kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya Mh. LISSU kufika hapo.

Familia kwa unyenyekevu mkubwa wameridhia kwa masharti ya kupata baraka za Mkuu wa wilaya ya Chato.

Baada ya viongozi kuwasiliana na Mkuu wa wilaya naye ameridhia tukio hill kufanyika.

Kwa hiyo tumejipanga kushiriki TENDO hill kesho asubuhi SAA Nne. Baadaye LISSU ataenda Muganza na BUSERESERE na jioni tena atarudi hapo Chato mjini kumalizia Shughuli.

Wavuvi wote wa ziwani wamechukua Likizo na wamepaki mitumbwi yao pembeni.

Wakulima nao ,wafanyabiashara wote, story ni LISSU na Mbowe. Halo ya hewa ya Wilaya ya Chato ni PiPooooooooooz tupu.

Hata Kama Una njaa hujisikii kula.

Basis kwa sasa ni hayo Chopa ya kamanda wa anga itatatua hapa Kwenye kata ya BUZIKU Kwa mkutano wa kwanza wilayani CHATO na mkoa wa Geita kwa ujumla.

KAMANDA WA ANGA PHILEMONI AIKAELI MBOWE, ANAPASUA ANGA NA CHOPA YENYE BENDERA YA CHADEMA
 
Sina tatizo na Lissu kwenda kuhiji kaburi la Magu ila ninapata shida kubwa kuendelea kumuelewa huyu bwana maana yeye ndio alituaminisha mambo mengi maovu yalifanywa na bwana yule na akapandikiza chuki kubwa sana kwa wengi wetu lakini leo anageuka.

Kwani ameshindwa kutetea hoja zake na zikaeleweka mpaka amtumie Magu ambaye alimpaka rangi chafu kila kona?
 
Sina tatizo na Lissu kwenda kuhiji kaburi la Magu ila ninapata shida kubwa kuendelea kumuelewa huyu bwana maana yeye ndio alituaminisha mambo mengi maovu yalifanywa na bwana yule na akapandikiza chuki kubwa sana kwa wengi wetu lakini leo anageuka.

Kwani ameshindwa kutetea hoja zake na zikaeleweka mpaka amtumie Magu ambaye alimpaka rangi chafu kila kona?
Hapo ndipo wanapofeli Hawa jamaa,kiakili ya kawaida haikubali.
 
CHADEMA kwa unafiki ni kama wale wayahudi waliomsulubisha Yesu. Mtu waliyekuwa wanampinga hadi Lissu kumwita Dikteta uchwara leo ni mwema na mtakatifu. Ni chama kilichokosa misimamo.
Kila binadam ana mazuri na mabaya yake, nazani chadema wameamua kuachana na mabaya yake na kumkumbuka kwa mazuri yake kama alivyosisitiza mwenyewe kabla ya kifo chake
 
Viongozi wa wilaya wamefika nyumbani kwa familia ya mwendazake kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya Mh. LISSU kufika hapo.

Familia kwa unyenyekevu mkubwa wameridhia kwa masharti ya kupata baraka za Mkuu wa wilaya ya Chato.

Baada ya viongozi kuwasiliana na Mkuu wa wilaya naye ameridhia tukio hill kufanyika.

Kwa hiyo tumejipanga kushiriki TENDO hill kesho asubuhi SAA Nne. Baadaye LISSU ataenda Muganza na BUSERESERE na jioni tena atarudi hapo Chato mjini kumalizia Shughuli.

Wavuvi wote wa ziwani wamechukua Likizo na wamepaki mitumbwi yao pembeni.

Wakulima nao ,wafanyabiashara wote, story ni LISSU na Mbowe. Halo ya hewa ya Wilaya ya Chato ni PiPooooooooooz tupu.

Hata Kama Una njaa hujisikii kula.

Basis kwa sasa ni hayo Chopa ya kamanda wa anga itatatua hapa Kwenye kata ya BUZIKU Kwa mkutano wa kwanza wilayani CHATO na mkoa wa Geita kwa ujumla.
Wavuvi wote wa ziwani wamechukua Likizo na wamepaki mitumbwi yao pembeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom