Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Hakuna hata sera moja ya Nyerere ambayo inatumika TZ sasa hivi.
Nyerere VS Mwinyi
Socialist Free Market
Dictator Democracy
Kwa hiyo Azimio la Arusha ni HISTORY. Ni Sera ambazo zilishapitwa na wakati. " Hatutarudi kwenye Ujamaa" Mwinyi. Ni Capitalism na sera za Mwinyi ndizo zilizoshinda.
Ni kweli hakuna sera ya mwalimu inayoendelea sasa...lakini tujiulize tuko wapi?