JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Nilichokielewa kikubwa kabisa ni...
Kama mh Tundu lisu siku awe kiongozi, angependa kuitwa majina ya hovyo kama anavyowaita viongozi wengine, Je angependa tumdharau kama anavyoonyesha kuwadharau viongozi wengine?
Dewj kaongea point
..Lissu ni kiongozi tayari.
..Ni anavumilia matusi ya kila aina toka kwa wana-Ccm.
..Wako vijana wa Ccm wanambeza Lissu kwa ulemavu alioupata kutokana na kushambuliwa na serikali.
..Kwenye siasa lazima mhusika awe na ngozi ngumu.