DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
- Thread starter
- #61
<br><br>Hapo penye nyekundu, kweli mwenye asili aachi asili mdau mpaka umejisahau ukazungumza kwa picha ya ID yako kuwa kweli <strong>WEWE NI MWARABU WA DAMU NIMEKUBALI</strong> unasema UNATUPA POLE kwa hiyo wewe HAUMO HAIKUHUSU KWA KUWA WEWE SIO MTANZANIA WEWE NI MWARABU.<br><br>Big up wenye kukusoma hii nayo shule tukisema wanasema Chuki.<span style="font-family: arial black">Huu ni uongo uliotukuka.<br>
<br>
Huu ni kutokana na watu kujirusha na kusahau kufikiria maendeleo binafsi ya uchumi wenu kama jamii na taifa kijumla.<br>
<br>
Na kama WaTNG mtaendelea kuwa hivi basi maisha yenu yote uchumi wenu utatawaliwa na wageni kama ilivyo sasa ( kwa kukujuza ni more than 70% ya uchumi wa Tz unamilikiwa na wageni) wenyewe kila siku bilicanas.<br>
<br>
<span style="color:#ff0000;">nawapa pole </span>kwa kuanza kumtafuta mchawi mchana huu.</span>