Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Ndugu zangu
Msinishambulie kama mlivyofanya kwa J.Mhagama. Huu ni utani tu kwa furaha ya Simba SC "kulambwa" na Azam FC. Keep cool guys. Chonde chonde msimshambulie Jenesta; maana alikuwa anawatania wana Simba. Hongera Yanga, Hongera Dr. Kikwete.
Msinishambulie kama mlivyofanya kwa J.Mhagama. Huu ni utani tu kwa furaha ya Simba SC "kulambwa" na Azam FC. Keep cool guys. Chonde chonde msimshambulie Jenesta; maana alikuwa anawatania wana Simba. Hongera Yanga, Hongera Dr. Kikwete.