Katuambia tufunge bakuliKumbe alifanya hivyo ! sijacheki mechi mimi kama hivyo bora watolewe tu.
acha upumbavuNamna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.
Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!
Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Bahati mbaya na nzuri humpata yeyote.Wakati anaondoka Yanga kwa nyodo, Feisal Salum 'Feitoto' tulimuuliza kwa nini anatoka timu kubwa kwenda timu ndogo? Hakusikia.
Sasa ameanza kuona mwenyewe timu yake imetolewa na katimu kadogo ka ku Bahir Dar Kenema kutoka Ethiopia katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Safari yake kucheza michuano ya kimataifa kwa mwaka huu imeishia hapo.
Atacheza tu ligi ya hapa nyumbani na vitimu kama Mashujaa au Kitayotsce.
Nani atamuona huko nje? Unamshauri nini?
Ana gundu au ni ile hadithi ya mkataa pema pabaya panamwita?
Dogo ilibidi afocous kwenye football aache kupambana na mashabiki mbona Okwi ,Niyonzima walitulia wakawa wanapiga kazi tu ...Katuambia tufunge bakuli
Mwache tuu,msimu huu ndio wamwisho,hatasikika tena.Dogo ilibidi afocous kwenye football aache kupambana na mashabiki mbona Okwi ,Niyonzima walitulia wakawa wanapiga kazi tu ...
Sasa atanyamaza yeyeYanga acheni roho mbaya na visirani. Ni kweli aliwaambia mnyamaze maana mnachonga sana
sasa katufunga midomo? au?Namna Azam walivyompata Fei Toto kutoka Yanga was unsporting.
Ni vigumu Fei Toto kujinasua na upendo aliouchafua. Kafunga goli la penati akaonyesha alama ya kufunga watu midogo, kweeeli!
Yanga woooote wafunge mdomo kwakuwa yeye kafunga goli.
Atacheza TAIFA STARS.Bahir Dar Kenema
Safari yake kucheza michuano ya kimataifa kwa mwaka huu imeishia hapo.
Atacheza tu ligi ya hapa nyumbani na vitimu kama Mashujaa au Kitayotsce.
Nani atamuona huko nje? Unamshauri nini?
Wazee wa Nongwa....Yanga acheni roho mbaya na visirani. Ni kweli aliwaambia mnyamaze maana mnachonga sana
Yaani wanakiri kabisa kuwa bado wana kisirani naye. Hizi ni roho za wapii sijuiWazee wa Nongwa....
Feisal anawapa taabu sana..